Ukiondoa ngono ni kitu gani kingine kinakupa thamani kwa mume/mpenzi wako?

Ukiondoa ngono ni kitu gani kingine kinakupa thamani kwa mume/mpenzi wako?

Kwa maisha ya sasa na wanawake wengi, utagundua wengi hawatumii au hawana akili. Na ndiyo maana wanajibidiisha sana kwenye muonekano, ila kichwani hamna kitu kabisa. Hopeless.
Conclusive statement:Ukiondoa Ngono What extra do you have to Offer in that relationship?
 
Mi ni wale watu wa kupenda kukaa alone alone,sasa huyu bebe wangu huwa ananipaga kampani kabambe sanaaa..ni mshkaji sana yani
 
Back
Top Bottom