Ukiondoa ubabe na mfumo mbaya ndani ya CCM Mkapa alikuwa ni Rais mzuri after Nyerere

Ukiondoa ubabe na mfumo mbaya ndani ya CCM Mkapa alikuwa ni Rais mzuri after Nyerere

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Kama binadamu Mkapa alikuwa na udhaifu wa kuwa mbabe au ujivuni kiasi flani. Lakini kama kuna kiongozi ambaye ingekuwa mfumo wetu upo vizuri aliyekuwa na akili alikuwa Mkapa.

Alijiamini kupita kiasi.angekuwa amejishusha kiasi flani alikuwa ana uwezo wa kuifikisha nchi mbali sana. Alikuwa na exposure, maono na kujiamini sana. Mfumo ulikuwa mwaribu. Akadumbukia ndani yake akaharib.

Mkapa alikuwa Rais ambaye unaweza ukamsikiliza ukapata kitu.aligundua kuwa he wasnt a comedian so hakuwa na muda wa kutaka kuchekesha watu kwa kuongea pumba.

Speeches zake zilikuwa kali,zenye ujumbe,kujiamini na kuongelea jambo analolifahamu kwa kina. Since then hatukuwahi pata Rais mwenye akili au smart kama Mkapa.
 
Kama binadamu Mkapa alikuwa na udhaifu wa kuwa mbabe au ujivuni kiasi flani. Lakini kama kuna kiongozi ambaye ingekuwa mfumo wetu upo vizuri aliyekuwa na akili alikuwa Mkapa.

Alijiamini kupita kiasi.angekuwa amejishusha kiasi flani alikuwa ana uwezo wa kuifikisha nchi mbali sana. Alikuwa na exposure, maono na kujiamini sana. Mfumo ulikuwa mwaribu. Akadumbukia ndani yake akaharib.

Mkapa alikuwa Rais ambaye unaweza ukamsikiliza ukapata kitu.aligundua kuwa he wasnt a comedian so hakuwa na muda wa kutaka kuchekesha watu kwa kuongea pumba.

Speeches zake zilikuwa kali,zenye ujumbe,kujiamini na kuongelea jambo analolifahamu kwa kina. Since then hatukuwahi pata Rais mwenye akili au smart kama Mkapa.
MWAKA 2035
Kama binadamu Magufuli alikuwa na udhaifu wa kuwa mbabe au ujivuni kiasi flani. Lakini kama kuna kiongozi ambaye ingekuwa mfumo wetu upo vizuri aliyekuwa na akili alikuwa Magufuli.

Alijiamini kupita kiasi.angekuwa amejishusha kiasi flani alikuwa ana uwezo wa kuifikisha nchi mbali sana. Alikuwa na exposure, maono na kujiamini sana. Mfumo ulikuwa mwaribu. Akadumbukia ndani yake akaharib.

Magufuli alikuwa Rais ambaye unaweza ukamsikiliza ukapata kitu.aligundua kuwa he wasn't a comedian so hakuwa na muda wa kutaka kuchekesha watu kwa kuongea pumba.

Speeches zake zilikuwa kali,zenye ujumbe,kujiamini na kuongelea jambo analolifahamu kwa kina. Since then hatukuwahi pata Rais mwenye akili au smart kama Magufuli.
 
MWAKA 2035
Kama binadamu Magufuli alikuwa na udhaifu wa kuwa mbabe au ujivuni kiasi flani. Lakini kama kuna kiongozi ambaye ingekuwa mfumo wetu upo vizuri aliyekuwa na akili alikuwa Magufuli.

Alijiamini kupita kiasi.angekuwa amejishusha kiasi flani alikuwa ana uwezo wa kuifikisha nchi mbali sana. Alikuwa na exposure, maono na kujiamini sana. Mfumo ulikuwa mwaribu. Akadumbukia ndani yake akaharib.

Magufuli alikuwa Rais ambaye unaweza ukamsikiliza ukapata kitu.aligundua kuwa he wasn't a comedian so hakuwa na muda wa kutaka kuchekesha watu kwa kuongea pumba.

Speeches zake zilikuwa kali,zenye ujumbe,kujiamini na kuongelea jambo analolifahamu kwa kina. Since then hatukuwahi pata Rais mwenye akili au smart kama Magufuli.
Hizi speech za kutafutiwa binti mweupe aoe,
 
Kama binadamu Mkapa alikuwa na udhaifu wa kuwa mbabe au ujivuni kiasi flani. Lakini kama kuna kiongozi ambaye ingekuwa mfumo wetu upo vizuri aliyekuwa na akili alikuwa Mkapa.

Alijiamini kupita kiasi.angekuwa amejishusha kiasi flani alikuwa ana uwezo wa kuifikisha nchi mbali sana. Alikuwa na exposure, maono na kujiamini sana. Mfumo ulikuwa mwaribu. Akadumbukia ndani yake akaharib.

Mkapa alikuwa Rais ambaye unaweza ukamsikiliza ukapata kitu.aligundua kuwa he wasnt a comedian so hakuwa na muda wa kutaka kuchekesha watu kwa kuongea pumba.

Speeches zake zilikuwa kali,zenye ujumbe,kujiamini na kuongelea jambo analolifahamu kwa kina. Since then hatukuwahi pata Rais mwenye akili au smart kama Mkapa.
John amekuwa kituko ,kila akiongea Ni Kama anaharisha
 
..amezidisha kuongelea ngono na kudhalilisha wanawake.
Ngono ni Jambo la kijamii, yaani kujamiiana haliepukiki.
Hili halina kiongozi ....hahaaa

Linapotajwa linavuta sana hisia za watu na kuwafanya wakusikilize.
 
Historia itatuhukumu hapo baadaye kwa kutomuelewa Magufuli na maono yake kwa taifa hili.
Utofauti wa mkapa na Magufuli ni mmoja. Magufuli yupo katika internet era: kila anachosema, tuhuma na maendeleo yote anayoyafanya yatapatikana kirahisi sana kwa kizazi kinachokuja.

Sasa Muangalie Magufuli kwa kila kitu yaani matendo, speech na kila record inayoachwa mtandaoni kumuhusu. Je, kizazi kijacho kitamchukuliaje kupitia hayo
 
Utofauti wa mkapa na Magufuli ni mmoja. Magufuli yupo katika internet era: kila anachosema, tuhuma na maendeleo yote anayoyafanya yatapatikana kirahisi sana kwa kizazi kinachokuja.

Sasa Muangalie Magufuli kwa kila kitu yaani matendo, speech na kila record inayoachwa mtandaoni kumuhusu. Je, kizazi kijacho kitamchukuliaje kupitia hayo
Muda ni hakimu mzuri.
Wakati utatupa majibu ya swali lako, tusifanye speculation sasa.
 
Kama binadamu Mkapa alikuwa na udhaifu wa kuwa mbabe au ujivuni kiasi flani. Lakini kama kuna kiongozi ambaye ingekuwa mfumo wetu upo vizuri aliyekuwa na akili alikuwa Mkapa.

Alijiamini kupita kiasi.angekuwa amejishusha kiasi flani alikuwa ana uwezo wa kuifikisha nchi mbali sana. Alikuwa na exposure, maono na kujiamini sana. Mfumo ulikuwa mwaribu. Akadumbukia ndani yake akaharib.

Mkapa alikuwa Rais ambaye unaweza ukamsikiliza ukapata kitu.aligundua kuwa he wasnt a comedian so hakuwa na muda wa kutaka kuchekesha watu kwa kuongea pumba.

Speeches zake zilikuwa kali,zenye ujumbe,kujiamini na kuongelea jambo analolifahamu kwa kina. Since then hatukuwahi pata Rais mwenye akili au smart kama Mkapa.
Mzee wa msoga ndio anaemfuata Nyerere, japo mfumo wa nchi bado upo chini
 
Kama binadamu Mkapa alikuwa na udhaifu wa kuwa mbabe au ujivuni kiasi flani. Lakini kama kuna kiongozi ambaye ingekuwa mfumo wetu upo vizuri aliyekuwa na akili alikuwa Mkapa.

Alijiamini kupita kiasi.angekuwa amejishusha kiasi flani alikuwa ana uwezo wa kuifikisha nchi mbali sana. Alikuwa na exposure, maono na kujiamini sana. Mfumo ulikuwa mwaribu. Akadumbukia ndani yake akaharib.

Mkapa alikuwa Rais ambaye unaweza ukamsikiliza ukapata kitu.aligundua kuwa he wasnt a comedian so hakuwa na muda wa kutaka kuchekesha watu kwa kuongea pumba.

Speeches zake zilikuwa kali,zenye ujumbe,kujiamini na kuongelea jambo analolifahamu kwa kina. Since then hatukuwahi pata Rais mwenye akili au smart kama Mkapa.
Nakubaliana nawe mkuu. Marehemu Ben Mkapa hata kama alikua na upendeleo kwa ndugu/marafiki zake ilikua sio waziwazi na ni vigumu sana kujua. Hakua na double standards kwenye kuwa treat watu kwa maana ya kuwabagua kwa makabila, dini zao au mahali wanakotoka

Alirudisha hadhi na heshima kwa watumishi wa umma kwa kuwaongezea maslahi kwa maana ya posho na mishahara. Hiki ni kipindi ambacho watumishi wa umma walifurahia sana ajira zao kwenye Serikali Kuu na Serikali za Mitaa

Aligoma kuwapa TAKUKURU nguvu zisizo na mipaka za kukamata na kushtaki watu moja kwa moja akielewa kwamba kwa nafasi yao wanaweza wakaitumia sheria vibaya na kuonea watu. Alitaka wafanye uchunguzi kamili kwanza na wamshawishi DPP kwa ushahidi uliokamilika kabda kupeleka mahakamani ili haki itendeke

Aliondoa kodi zisizo na maana ambazo pia zilikua kero kwa ukuaji wa biashara za watu. Kwenye kipindi chake leseni za Biashara zinazotolewa na Halmashauri za Miji ilikua unalipia mwaka mmoja tu tena flat rate ya 20, 000.0 tu kwa biashara yoyote na hakuna ku renew kila mwaka!

Alidhibiti mfumuko wa bei na alihakikisha thamani ya shilingi ya Tanzania inakua imara na isiyoyumbayumba kwa kutumia njia halisi za kiuchumi

Aliijengea nchi heshima kwa wahisani na wabia/wadau wa maendeleo na aliweka wazi kabisa kwamba nchi itakua inalipa madeni yake iliyokopa. Kwa namna hii alifanikiwa sana kupunguza deni la taifa ambalo lilikua limepanda sana hasa kwenye serikali ya awamu ya pili. Hata huku kujigamba kwa serikali yetu kwamba tunakopesheka na deni letu la taifa bado ni himilivu kunatokana na misingi aliyoiweka Mkapa

Pamoja na kuanzisha wakala nyingi za serikali ambazo zikawa ni taasisi zinazojitegemea bila kuhitaji ruzuku kutoka Serikali Kuu pia miradi kama MKUKUTA na MKURABITA ilikua ni wazo zuri sana kama watekelezaji wangekua makini

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, marehemu Benjamin W. Mkapa aliitendea haki nafasi ya Uraisi na hakika ameacha alama ya uongozi uliotukuka
 
Nyerere was a terrible president. Ni aliweka msingi mbovu wa nchi yetu. We are who we are today kwa sababu yake.
 
Utofauti wa mkapa na Magufuli ni mmoja. Magufuli yupo katika internet era: kila anachosema, tuhuma na maendeleo yote anayoyafanya yatapatikana kirahisi sana kwa kizazi kinachokuja.

Sasa Muangalie Magufuli kwa kila kitu yaani matendo, speech na kila record inayoachwa mtandaoni kumuhusu. Je, kizazi kijacho kitamchukuliaje kupitia hayo
Tukiongea ukweli kabisa toka moyoni, Magufuli kazi aliyopewa haiwezi na hata haijui anatakiwa afanye nini!

Ukimsikiliza anachoongea unaishia kuona aibu na kujiuliza huyu amefikaje hapo?
 
Muda ni hakimu mzuri.
Wakati utatupa majibu ya swali lako, tusifanye speculation sasa.
wote tumeongelea katika future context. ila wewe umetoa kwa kiasi flani kama conclusion ila mimi nimejaribu tu kuonesha channel ya info itakayotumika mbeleni. najua chochote kinaweza kutokea ndio maana sikuenda kwenye hitimisho moja kwa moja


kumbuka mahtma ghandi licha ya kuwa moja baba wa taifa la India na moja ya marais wenye reputation kubwa duniani lakini leo barua aliyoiandika kipindi cha apartheid Africa kusini imemuondolea credit nyingi na kumuonesha kama Racist.

Yajayo ni fumbo brother. Tusubiri
 
wote tumeongelea katika future context. ila wewe umetoa kwa kiasi flani kama conclusion ila mimi nimejaribu tu kuonesha channel ya info itakayotumika mbeleni. najua chochote kinaweza kutokea ndio maana sikuenda kwenye hitimisho moja kwa moja


kumbuka mahtma ghandi licha ya kuwa moja baba wa taifa la India na moja ya marais wenye reputation kubwa duniani lakini leo barua aliyoiandika kipindi cha apartheid Africa kusini imemuondolea credit nyingi na kumuonesha kama Racist.

Yajayo ni fumbo brother. Tusubiri
Kweli ni fumbo kubwa sana.
 
Kama binadamu Mkapa alikuwa na udhaifu wa kuwa mbabe au ujivuni kiasi flani. Lakini kama kuna kiongozi ambaye ingekuwa mfumo wetu upo vizuri aliyekuwa na akili alikuwa Mkapa.

Alijiamini kupita kiasi.angekuwa amejishusha kiasi flani alikuwa ana uwezo wa kuifikisha nchi mbali sana. Alikuwa na exposure, maono na kujiamini sana. Mfumo ulikuwa mwaribu. Akadumbukia ndani yake akaharib.

Mkapa alikuwa Rais ambaye unaweza ukamsikiliza ukapata kitu.aligundua kuwa he wasnt a comedian so hakuwa na muda wa kutaka kuchekesha watu kwa kuongea pumba.

Speeches zake zilikuwa kali,zenye ujumbe,kujiamini na kuongelea jambo analolifahamu kwa kina. Since then hatukuwahi pata Rais mwenye akili au smart kama Mkapa.
Naunga hoja kwa 100% na hakuwa mkabila, mbagu, mpenda sifa wala mbambikaji kesi za kijinga watu.
 
MWAKA 2035
Kama binadamu Magufuli alikuwa na udhaifu wa kuwa mbabe au ujivuni kiasi flani. Lakini kama kuna kiongozi ambaye ingekuwa mfumo wetu upo vizuri aliyekuwa na akili alikuwa Magufuli.

Alijiamini kupita kiasi.angekuwa amejishusha kiasi flani alikuwa ana uwezo wa kuifikisha nchi mbali sana. Alikuwa na exposure, maono na kujiamini sana. Mfumo ulikuwa mwaribu. Akadumbukia ndani yake akaharib.

Magufuli alikuwa Rais ambaye unaweza ukamsikiliza ukapata kitu.aligundua kuwa he wasn't a comedian so hakuwa na muda wa kutaka kuchekesha watu kwa kuongea pumba.

Speeches zake zilikuwa kali,zenye ujumbe,kujiamini na kuongelea jambo analolifahamu kwa kina. Since then hatukuwahi pata Rais mwenye akili au smart kama Magufuli.
Magufuli hamna atakayemsifu ataingia kwenye historia kama ya Mobutu na wengine kama hao. Hata chochote cha maana atakachotuachia zaidi ya kwamba na yeye amewahi kuwa rais wa Wadanganyika
 
Back
Top Bottom