Ukiondoa ubabe na mfumo mbaya ndani ya CCM Mkapa alikuwa ni Rais mzuri after Nyerere

Ukiondoa ubabe na mfumo mbaya ndani ya CCM Mkapa alikuwa ni Rais mzuri after Nyerere

Kama binadamu Mkapa alikuwa na udhaifu wa kuwa mbabe au ujivuni kiasi flani. Lakini kama kuna kiongozi ambaye ingekuwa mfumo wetu upo vizuri aliyekuwa na akili alikuwa Mkapa.

Alijiamini kupita kiasi.angekuwa amejishusha kiasi flani alikuwa ana uwezo wa kuifikisha nchi mbali sana. Alikuwa na exposure, maono na kujiamini sana. Mfumo ulikuwa mwaribu. Akadumbukia ndani yake akaharib.

Mkapa alikuwa Rais ambaye unaweza ukamsikiliza ukapata kitu.aligundua kuwa he wasnt a comedian so hakuwa na muda wa kutaka kuchekesha watu kwa kuongea pumba.

Speeches zake zilikuwa kali,zenye ujumbe,kujiamini na kuongelea jambo analolifahamu kwa kina. Since then hatukuwahi pata Rais mwenye akili au smart kama Mkapa.
Nakubaliana na wewe kwa asilimia mia moja
 
Kama binadamu Mkapa alikuwa na udhaifu wa kuwa mbabe au ujivuni kiasi flani. Lakini kama kuna kiongozi ambaye ingekuwa mfumo wetu upo vizuri aliyekuwa na akili alikuwa Mkapa.

Alijiamini kupita kiasi.angekuwa amejishusha kiasi flani alikuwa ana uwezo wa kuifikisha nchi mbali sana. Alikuwa na exposure, maono na kujiamini sana. Mfumo ulikuwa mwaribu. Akadumbukia ndani yake akaharib.

Mkapa alikuwa Rais ambaye unaweza ukamsikiliza ukapata kitu.aligundua kuwa he wasnt a comedian so hakuwa na muda wa kutaka kuchekesha watu kwa kuongea pumba.

Speeches zake zilikuwa kali,zenye ujumbe,kujiamini na kuongelea jambo analolifahamu kwa kina. Since then hatukuwahi pata Rais mwenye akili au smart kama Mkapa.
Yule mkapa alietuua pemba na kupongeza polisi kwa Kazi nzuri?
Yule mkapa aliowaua wachimbaji wadogo kule bulyanhulu?
Yule mkapa aliowaua waislamu mwembe chai?
Hakuna rais alikua katili nchi hii kama mkapa baada ya magufuli
 
Nawe huo ni mtizamo wako ambao nauheshimu. But binafsi naweza sema alikuwa mmoja ya Marais bora Afrika kwa akili.

Yule mkapa alietuua pemba na kupongeza polisi kwa Kazi nzuri?
Yule mkapa aliowaua wachimbaji wadogo kule bulyanhulu?
Yule mkapa aliowaua waislamu mwembe chai?
Hakuna rais alikua katili nchi hii kama mkapa baada ya magufuli
 
Sasa huoni kuwa amefanya vyema kukiri? Kukiri ni kuonesha umelifahamu kosa na kujutia. Ulitaka anyamaze aendelee kuonesha kuwa alikuwa sahihi?


Vipi kwenye kitabu chake anapokiri kupitisha upigaji wa hela zetu takriban dola milion 100 zikasaidie kampeni za CCM?
 
Back
Top Bottom