Kama binadamu Mkapa alikuwa na udhaifu wa kuwa mbabe au ujivuni kiasi flani. Lakini kama kuna kiongozi ambaye ingekuwa mfumo wetu upo vizuri aliyekuwa na akili alikuwa Mkapa.
Alijiamini kupita kiasi.angekuwa amejishusha kiasi flani alikuwa ana uwezo wa kuifikisha nchi mbali sana. Alikuwa na exposure, maono na kujiamini sana. Mfumo ulikuwa mwaribu. Akadumbukia ndani yake akaharib.
Mkapa alikuwa Rais ambaye unaweza ukamsikiliza ukapata kitu.aligundua kuwa he wasnt a comedian so hakuwa na muda wa kutaka kuchekesha watu kwa kuongea pumba.
Speeches zake zilikuwa kali,zenye ujumbe,kujiamini na kuongelea jambo analolifahamu kwa kina. Since then hatukuwahi pata Rais mwenye akili au smart kama Mkapa.