Asalaam Aleykum
Hili tatizo limekuwa endelevu na Ni kwasababu Policy Makers hasa Wabunge wao hawazungushwi,wala hawapewi "Empty Promises"
Inaingiaje akilini mtu unakamilisha viambatanishi vyoote then unapewa tarehe ya kurudi,halafu unaambiwa kimepanda kimeshuka.
PSSF ni virus inayoua wastaafu.
Sijajua kuhusu NSSF Kuna mbunge aliongea vizuri Sana Kama mtu ana clip anaweza kuiweka ,tuende tufike mahali kipimo Cha Rais kuwa madarakani Ni jinsi atavyoshuhulikia Mafao ya Wastaafu bila kuwachosha hivihivi asipitishwe