Ukipambana na Lissu ujue hutakaa ufanikiwe, huyu Mtumishi anaombewa sana

Ukipambana na Lissu ujue hutakaa ufanikiwe, huyu Mtumishi anaombewa sana

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Nawashauri tu wanaoppteza muda wao kudhani kwamba wanaweza kupambana na Tundu Antiphas Lissu.

Sauti kutoka Within inasema kamwe hamtafanikiwa mtapoteza muda na rasilimali zenu.

Kwani huyu Mtu anaombewa sana na Sala na Dua zao Malaika wa Mbinguni wanazipokea na Mungu ana muhifadhi.

Wakati Daniel akiomba Msaada na Toba ili Taifa lake likombolewe kutoka ktk mikono ya Watawala wa Mkono wa Chuma, akiwa kando kando ya Mto Hedekeli kule Persia Irani ya Kale, Malaika Gabriel alimtokea na Kumwambia Tangu Mwanzo wa Maombi yake Mungu alimsikiliza na kupokea maombi yake. Daniel sura ya 9.

Tundu lissu huombewa usiku na mchana na Wananchi wote wenye mapenzi mema, na zaidi huombewa na Watumishi Waaminifu wa Mungu kama Shekh Ponda Issa Ponda, Askofu Mwamakula, Mapadre na maaskofu wengi. Mitume na manabii Kadhaa, Mashekhe na Maustadhi ambao majina ni mengi kuwataja kwenye safu hii.

Mungu awabariki sana.

Allakhuakbar
 
Nawashauri tu wanaoppteza muda wao kudhani kwamba wanaweza kupambana na Tundu Antiphas Lissu.

Sauti kutoka Within inasema kamwe hamtafanikiwa mtapoteza muda na rasilimali zenu.

Kwani huyu Mtu anaombewa sana na Sala na Dua zao Malaika wa Mbinguni wanazipokea na Mungu ana muhifadhi.

Wakati Daniel akiomba Msaada na Toba ili Taifa lake likombolewe kutoka ktk mikono ya Watawala wa Mkono wa Chuma, akiwa kando kando ya Mto Hedekeli kule Persia Irani ya Kale, Malaika Gabriel alimtokea na Kumwambia Tangu Mwanzo wa Maombi yake Mungu alimsikiliza na kupokea maombi yake. Daniel sura ya 9.


Tundu lissu Huombewa usiku na mchana na Wananchi wote wenye mapenzi mema, na zaidi huombewa na Watumishi Waaminifu wa Mungu kama Shekh Ponda Issa Ponda, Askofu Mwamakula, Mapadre na maaskofu wengi. Mitume na manabii Kadhaa, Mashekhe na Maustadhi ambao majina ni mengi kuwataja kwenye safu hii.

Mungu awabariki sana.


Allakhuakbar
hilo si ombaomba kuchangiwa la kimataifa gentleman?🐒
 
Hujui usemalo. Nani mgumu kama Dr Slaa? Ni PhD, tena miaka 76 embu tuambie hivi sasa anapambana na nani? Mwambukuzi sienda mathalani kupambana na Bandari wakiwa wote na Tundu Antipathy. Kwani aliishia wapi kama sio chini puuu!!
 
Nawashauri tu wanaoppteza muda wao kudhani kwamba wanaweza kupambana na Tundu Antiphas Lissu.

Sauti kutoka Within inasema kamwe hamtafanikiwa mtapoteza muda na rasilimali zenu.

Kwani huyu Mtu anaombewa sana na Sala na Dua zao Malaika wa Mbinguni wanazipokea na Mungu ana muhifadhi.

Wakati Daniel akiomba Msaada na Toba ili Taifa lake likombolewe kutoka ktk mikono ya Watawala wa Mkono wa Chuma, akiwa kando kando ya Mto Hedekeli kule Persia Irani ya Kale, Malaika Gabriel alimtokea na Kumwambia Tangu Mwanzo wa Maombi yake Mungu alimsikiliza na kupokea maombi yake. Daniel sura ya 9.

Tundu lissu huombewa usiku na mchana na Wananchi wote wenye mapenzi mema, na zaidi huombewa na Watumishi Waaminifu wa Mungu kama Shekh Ponda Issa Ponda, Askofu Mwamakula, Mapadre na maaskofu wengi. Mitume na manabii Kadhaa, Mashekhe na Maustadhi ambao majina ni mengi kuwataja kwenye safu hii.

Mungu awabariki sana.

Allakhuakbar
Wao wana majini, Polisi,TISS na Tume ya uchaguzi sisi tuna Mungu muumba wa Mbingu na dunia.
 
Nawashauri tu wanaoppteza muda wao kudhani kwamba wanaweza kupambana na Tundu Antiphas Lissu.

Sauti kutoka Within inasema kamwe hamtafanikiwa mtapoteza muda na rasilimali zenu.

Kwani huyu Mtu anaombewa sana na Sala na Dua zao Malaika wa Mbinguni wanazipokea na Mungu ana muhifadhi.

Wakati Daniel akiomba Msaada na Toba ili Taifa lake likombolewe kutoka ktk mikono ya Watawala wa Mkono wa Chuma, akiwa kando kando ya Mto Hedekeli kule Persia Irani ya Kale, Malaika Gabriel alimtokea na Kumwambia Tangu Mwanzo wa Maombi yake Mungu alimsikiliza na kupokea maombi yake. Daniel sura ya 9.

Tundu lissu huombewa usiku na mchana na Wananchi wote wenye mapenzi mema, na zaidi huombewa na Watumishi Waaminifu wa Mungu kama Shekh Ponda Issa Ponda, Askofu Mwamakula, Mapadre na maaskofu wengi. Mitume na manabii Kadhaa, Mashekhe na Maustadhi ambao majina ni mengi kuwataja kwenye safu hii.

Mungu awabariki sana.

Allakhuakbar
Huyu n Israel WA tanzania
 
Basi na wewe omba uchangiwe kama ni raisi kuomba kisha watu wakakuchangia
niko na nguvu ya kufanya kazi, siwezi kujifanya maskini nisie na nguvu ya kufanya kazi ili niwe ombaomba kama huyo kibaraka alieifedhehesha sana familia, ndugu, jamaa na marafiki kwa kuomba omba kuchangiwa pocket money 🐒
 
niko na nguvu ya kufanya kazi, siwezi kujifanya maskini nisie na nguvu ya kufanya kazi ili niwe ombaomba kama huyo kibaraka alieifedhehesha sana familia, ndugu, jamaa na marafiki kwa kuomba omba kuchangiwa pocket money 🐒
Hii ni ukweli mkuu aisee
 
Kuna watu hamna kazi haki ya Mungu, mkiendelea hv posa zinaweza kuja kuwahusu hapo baadae.
 
niko na nguvu ya kufanya kazi, siwezi kujifanya maskini nisie na nguvu ya kufanya kazi ili niwe ombaomba kama huyo kibaraka alieifedhehesha sana familia, ndugu, jamaa na marafiki kwa kuomba omba kuchangiwa pocket money 🐒
Lisu hajawahi kumuomba mtu yoyote tena yeye Amesaidiavmaelfu yacwatu bure kuwatoavmagerezani watu ambao walibambikiwa makesi ya uonevu. Lisu analipwa fadhila kwa mema mengi aliyo watendea watu. Lisu anamaisha yake mazuri tu na anafanya kazi nyingi sana za jujitolea. Na fedha nyingi anazopewa na watu zinarudi kuwahudumia watu. Lisu ni sawa na Yakobo Lisu ni mshindi na huwezi kushindana na mshindi muulizeni Baba yenu
 
Back
Top Bottom