Iwe unatokea Mbeya au Mwanza ukipanda basi lolote lile hata iwe luwinzo mbona unaweza kufika mapema kuliko aliyekata tiketi ya ndege za ATCL.
Au mmoja akitoka Mwanza akifika Tinde akapanda tank la mafuta mbona unatangulia kufika yaani wewe wa basi unaenda kumpokea mtu aliyepanda ndege.
Ukipanda basi unafika, unakula halafu unapanda daladala kwenda airport kumpokea mtu mliyeachana yeye anaenda airport wewe unaenda Uyole kutafuta basi au Nyegezi, maana wanakalishwa masaa hadi kumi ninyi mnakua mbali yaani mnachapa mwendo kuliko wao kama hamuamini mje kujaribu muone inakuaje.
Au mmoja akitoka Mwanza akifika Tinde akapanda tank la mafuta mbona unatangulia kufika yaani wewe wa basi unaenda kumpokea mtu aliyepanda ndege.
Ukipanda basi unafika, unakula halafu unapanda daladala kwenda airport kumpokea mtu mliyeachana yeye anaenda airport wewe unaenda Uyole kutafuta basi au Nyegezi, maana wanakalishwa masaa hadi kumi ninyi mnakua mbali yaani mnachapa mwendo kuliko wao kama hamuamini mje kujaribu muone inakuaje.