Ukipanda Basi unafika Dar mapema kuliko aliekata tiketi ya ndege za ATCL

Ukipanda Basi unafika Dar mapema kuliko aliekata tiketi ya ndege za ATCL

Hata ambao ndege ilikuwa hatujawahi kuota kupanda, Fast Jest tulipanda.....Mbeya elf 86 kwa wale tulikuwa tunakata week mbili kabla ya safari na kuna wakati niliwahi panda kwa 66 elf tu mpaka Songwe, hao aitisielo na Presisheni MUNGU anawaona.....tumerudi kwenye IT tu
Ilifika sehemu mkishuka airport madereva tax wanaambizana hawa ni abiria wa fastjet hawa hawapandi tax ng'oo wanaenda kukwea daladala 😀
 
Eitisielo waanze kuweka na filamu za mkojani ili abiria wawe wanaburudika
 
Aisee ukitaka kuharibu programe zako panda ATCL.

Ndege imebalishwa time mara 2 nikamuuliza mtoa huduma wa Aiport ananimbia hilo ni tatizo sugu la ATCL eti ndege zipo chache nyingine zipo busy na viongozi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kuanzia sasa nitapanda Precsion hata kama ina makelele kama jenereta.

[emoji81]
 
Kwenda Arusha town toka Dar we panda BM ya saa 12 asubuhi saa 7.30 mchana unakula ugali kuku wa kuchoma hotel za Arusha .sasa we kata sijui ndege utafika usiku mkubwa
 
Back
Top Bottom