Mkuu unadhani ukichukua hakuna kulala saa kumi jioni pale uyole Dar lafajiri uliemwacha songwe airport anafika jioni yakeFast Jet ilikua mkombozi wetu nayo ikafanyiwa hujuma ili ATCL asiwe na mpinzani.
[emoji15][emoji848]
Muulize hata bagonza ni trip moja au?Hiyo ni trip moja iliyochelewa, usijumuishe trip zote
DU KAMA KWELI VILE
Hapana huu ni uongoIwe unatokea mbeya au mwanza ukipanda basi lolote lile hata iwe luwinzo mbona unaweza kufika mapema kuliko aliekata tiketi ya ndege za ATCL.
Au mmoja akitoka mwanza akifika tinde akapanda tank la mafuta mbona unatangulia kufika yaani wewe wa basi unaenda kumpokea mtu aliepanda ndege.
Ukipanda basi unafika, unakula halafu unapanda daladala kwenda airport kumpokea mtu mlieachana yeye anaenda airport wewe unaenda uyole kutafuta basi au nyegezi, maana wanakalishwa masaa hadi kumi ninyi mnakua mbali yaani mnachapa mwendo kuliko wao kama hamuamini mje kujaribu muone inakuaje.
Sio trip moja, mimi go and return zote zimechelewa na nikaambiwa na mtoa huduma wa hapo aiport kuwa ATCL ina tatizo sugu la uchelewaji.Hiyo ni trip moja iliyochelewa, usijumuishe trip zote
Waswahili wanasema "usijisifu una mbio msifu anayekufukuza" yaani uwepo wa Fast Jet ungewafanya ATCL wasilale wapambane kuboresha huduma kwa weledi na ufanisi Sasa wamemuua mpinzani wao kwa akili mbovu za wivu na roho mbaya ya mwendazake aliyecopy thesis ya PhdFast Jet ilikua mkombozi wetu nayo ikafanyiwa hujuma ili ATCL asiwe na mpinzani.
Na siajabu ATCL wangejifunza mawili matatu kutoka Fast Jet. Ingewezekana kachero wa TISS angetafutiwa ajira Fast Jet kuwaibia maujanja. Makachero wetu wako busy kuwasulubu wana Chadema.Waswahili wanasema "usijisifu una mbio msifu anayekufukuza" yaani uwepo wa Fast Jet ungewafanya ATCL wasilale wapambane kuboresha huduma kwa weledi na ufanisi Sasa wamemuua mpinzani wao kwa akili mbovu za wivu na roho mbaya ya mwendazake aliyecopy thesis ya Phd
kwanza serikali kununua mindenge ambayo hawawezi kuziendesha ni bora wangeweka mazingira mazuri kwa wazawa kuwekeza huko wao kipaombele ingekua huduma muhimu kwa wananchi saa ivi tusingekua tunapigwa kwenye tozo na Kodi za mafuta,miamalana luku
Lakini si ipo precision air. Au?Waswahili wanasema "usijisifu una mbio msifu anayekufukuza" yaani uwepo wa Fast Jet ungewafanya ATCL wasilale wapambane kuboresha huduma kwa weledi na ufanisi Sasa wamemuua mpinzani wao kwa akili mbovu za wivu na roho mbaya ya mwendazake aliyecopy thesis ya Phd
kwanza serikali kununua mindenge ambayo hawawezi kuziendesha ni bora wangeweka mazingira mazuri kwa wazawa kuwekeza huko wao kipaombele ingekua huduma muhimu kwa wananchi saa ivi tusingekua tunapigwa kwenye tozo na Kodi za mafuta,miamalana luku