mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,358
Vyeo vya huku kwetu ni lazima uwe kada, mnafiki na ujipendekeze upate connection 😄😄 weledi,uzoefu na taaluma unaweka kwenye makalioHaya tulipaswa kuyaelewa miaka 50 iliyopita sasa tunayajua leo baada ya kukubali kuiua fastjet, roho ngumu Precision na wengine ili tubakiwe na shirika moja tu likidhani litapata pesa yote. Waulizeni hata Emirates au KQ management zao sio za kugawiana vyeo bali wanwaweka watu competent hata kama sio Waarabu wenzao mradi shirika liende vizuri tu.
Hapa hadi uwe mwenzao au uwe na kadi ya chama na business plan anakaa nayo mtu mfukoni
Wameomba msamaha kwa kuchelewachelewa kwa ndege sababu nyingine ziko kwenye matengenezo.Sio trip moja, mimi go and return zote zimechelewa na nikaambiwa na mtoa huduma wa hapo aiport kuwa ATCL ina tatizo sugu la uchelewaji.
Last week walichelewa zaidi ya saa 5 eti wakawapa abiria offer ya popcorn kuwafuta machozi, wazungu wakatukana sana na kumwaga hizo popcorn.
Luwinzo mashine kali ile wewe haina kuahirisha safari ile inaenda na ratibaUsifananishe Luwinzo na vitu vya kijinga chali angu
Unapotengeneza washindani wengi wenye nguvu kwenye soko na ushindani wenye usawa unatengeneza mazingira husisimua maboresho ya huduma na bidhaa kwa mtumiaji pia huongeza tija na weledi pia kuongeza matumizi ya sayansi na tekinaolojia hayo ndio maendeleoLakini si ipo precision air. Au?
Kachero mmiliki wa fastjet alishindwa kutumia uzalendo mpaka fastjet tz ikafurushwa? Au hakusikilizwa?Na siajabu ATCL wangejifunza mawili matatu kutoka Fast Jet. Ingewezekana kachero wa TISS angetafutiwa ajira Fast Jet kuwaibia maujanja. Makachero wetu wako busy kuwasulubu wana Chadema.
miezi inaenda tu kila siku wanaomba msamaha kwa kisingizio cha matengenezo.Wameomba msamaha kwa kuchelewachelewa kwa ndege sababu nyingine ziko kwenye matengenezo.
Hizi ndege ni aibu tupu,kwendana na analysis mbalimbali-Ili Dreamliner iweze kutoa faida inatakiwa iwe inaenda route ya at least masaa 8 na iwe nearly kwenye full capacity. Sasa hapa nchi hz route watazitoa wapi pamoja na hao watu wa kila mara?C.A.G. alionya na kushauri hili shirika ni kansa isiyotibika, ila watu wanadhani mwendawazimu aliyesema siku ina saa 48 anajua zaidi. Kodi zetu zinatumika kuendesha mashirika yasiyo na maana kama haya, ndio maana kila siku yanaibuka matozo ya kipuuzi.
Kampuni za mabasi ni fursa kwao zilete executive luxury busesIwe unatokea Mbeya au Mwanza ukipanda basi lolote lile hata iwe luwinzo mbona unaweza kufika mapema kuliko aliyekata tiketi ya ndege za ATCL.
Hata ivyo serikali hawajachelewa wanaweza wakamtafuta mfano kama aliyekuwa Ceo na manegement yao kisha unachanganya watu wapya ambao baadae unakuja kuwapandisha juu,Na siajabu ATCL wangejifunza mawili matatu kutoka Fast Jet. Ingewezekana kachero wa TISS angetafutiwa ajira Fast Jet kuwaibia maujanja. Makachero wetu wako busy kuwasulubu wana Chadema.
Nakubali 💪Kamata luwinzo , sauli au newforce utanikumbuka na mishe zako utawahi kama kawaida
Naililia sana Fast Jet. Nilimpandisha mpaka bibiangu,kwa mara ya kwanza akaonja pipa bibiang. Fast Jet walikuja kibiashara kabisa. Watu walianza kuachana na mabasi. Fast Jet walikuwa wanajaa abiria,mpaka miezi ile ya 12 walikuwa wanakodi ndege zingine.Fast Jet ilikua mkombozi wetu nayo ikafanyiwa hujuma ili ATCL asiwe na mpinzani.
Hizi ndege ni aibu tupu,kwendana na analysis mbalimbali-Ili Dreamliner iweze kutoa faida inatakiwa iwe inaenda route ya at least masaa 8 na iwe nearly kwenye full capacity. Sasa hapa nchi hz route watazitoa wapi pamoja na hao watu wa kila mara?
India yenyewe iliona biashara ya ndege ni chechefu recently,wakaamua kuuza ndege zao zoteMfano rahisi ulikuwa Kenya hapo. Wana shirika lililo kwenye game muda mrefu, na wana frequencies hatusogei. Walinunua Dreamliners kwa fujo na masifa, mwisho wa siku walilazimika kuziuza na kukodisha nyingine. Wamekuja kuzirudisha 2 zilizobaki baada ya kupata NBO - JFK. Lakini bwana yule marehemu alijiona ana maarifa kuzidi kila mtu.
Arafu pia precision wana kabei nafuu ukiAisee ukitaka kuharibu programe zako panda ATCL.
Ndege imebalishwa time mara 2 nikamuuliza mtoa huduma wa Aiport ananimbia hilo ni tatizo sugu la ATCL eti ndege zipo chache nyingine zipo busy na viongozi 🤣🤣🤣
Kuanzia sasa nitapanda Precsion hata kama ina makelele kama jenereta.
Presicion wana kabei nafuu ukilinganisha na mwingine. Arafu Kuna kampuni moja hv nilipanda mwanza Dar. Inakitivii kimoja ndan yaan utafikiria bus au Pengine Bora ya bus. Na hiyo tuliambiwa ndio ndege ya kisasaArafu pia precision wana kabei nafuu uki