binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Ilifika sehemu mkishuka airport madereva tax wanaambizana hawa ni abiria wa fastjet hawa hawapandi tax ng'oo wanaenda kukwea daladala 😀Hata ambao ndege ilikuwa hatujawahi kuota kupanda, Fast Jest tulipanda.....Mbeya elf 86 kwa wale tulikuwa tunakata week mbili kabla ya safari na kuna wakati niliwahi panda kwa 66 elf tu mpaka Songwe, hao aitisielo na Presisheni MUNGU anawaona.....tumerudi kwenye IT tu
Nikweli kabisa, walikuwa hawana time kabisa😅😅Ilifika sehemu mkishuka airport madereva tax wanaambizana hawa ni abiria wa fastjet hawa hawapandi tax ng'oo wanaenda kukwea daladala 😀
Aisee ukitaka kuharibu programe zako panda ATCL.
Ndege imebalishwa time mara 2 nikamuuliza mtoa huduma wa Aiport ananimbia hilo ni tatizo sugu la ATCL eti ndege zipo chache nyingine zipo busy na viongozi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuanzia sasa nitapanda Precsion hata kama ina makelele kama jenereta.
Dah yaani upunguziwe nauli ulipe elf 66 afu ushindwe taxIlifika sehemu mkishuka airport madereva tax wanaambizana hawa ni abiria wa fastjet hawa hawapandi tax ng'oo wanaenda kukwea daladala [emoji3]
Utakuwa hutumii huduma zao mara kwa mara!Hiyo ni trip moja iliyochelewa, usijumuishe trip zote
Utakuwa hutumii huduma zao mara kwa mara!