Ukipangwa mafunzo JKT na hujaripoti mafunzoni, je nikiomba mkopo HESLB nitapata?

Ukipangwa mafunzo JKT na hujaripoti mafunzoni, je nikiomba mkopo HESLB nitapata?

Hivi ukimaliza form six ukapangwa mafunzo JKT na hujaripoti mafunzoni je nikiomba mkopo HESLB nitapata? Naomba mwenye kufahamu hili anijuze. Natanguliza shukrani
JKT ni kupoteza muda, now pumzika after A-level huku ukifuatilia degree program nzuri ya kusoma Kwa combination yako, suala la kutopata mkopo kisa hujaenda JKT is something shit.
.............Nimemaliza
 
Huwezi kupata...
Kuna mwenzako ilikua hivo hivo alipangiwa ila wakamjaza huku jf..

Leo hii hana mkopo anatafuta mchawi nani..
Sasa wewe endelea hivo hivo humu utapewa moyo tu

Ila mda wenzako wanaponda boom wee unawaza ada utakua peke ako
Mimi sikuenda na mkopo nlipata, sio kila mtu ana afya ya kwenda jkt, mkopo hauhusiani na jkt labda kama unampango wa kufanya kazi zinazohusiana na jeshi
 
Huwezi kupata...
Kuna mwenzako ilikua hivo hivo alipangiwa ila wakamjaza huku jf..

Leo hii hana mkopo anatafuta mchawi nani..
Sasa wewe endelea hivo hivo humu utapewa moyo tu

Ila mda wenzako wanaponda boom wee unawaza ada utakua peke ako
Wacha ulongo wewe. Huyo alikosa Kwa sababu nyinginezo jkt na bodi ya mikopo ni vitu viwili tofauti.muongozo was mwaka hu aujatoka Hila almost inakuaga kama hivi nimepitia ya miaka mingi akuna kigezo Cha jkt ni kutengenezea madogo stress TU kama Awana interest na hiyo jkt piga chini ni kupoteza muda TU soma hiyo
 

Attachments

Wacha ulongo wewe. Huyo alikosa Kwa sababu nyinginezo jkt na bodi ya mikopo ni vitu viwili tofauti.muongozo was mwaka hu aujatoka Hila almost inakuaga kama hivi nimepitia ya miaka mingi akuna kigezo Cha jkt ni kutengenezea madogo stress TU kama Awana interest na hiyo jkt piga chini ni kupoteza muda TU soma hiyo
Unaongea tu ila yanayofanyika huku we huyajui...
Wee endelea kumpa moyo hivo hivo ila mwisho wa siku atakua peke ake
 
Hakuna hicho kigezo , Katika mwongozo wa kutoa mkopo hakuna kigezo cha kupitia JKT , mimi binafsi sikuripoti mwaka jana kwa sababu zangu maalumu , Nikushauri tu kama una malengo ya kutokusoma chuo na kuja kufanya kazi upande wa jeshi au polisi ni vyema uende JKT ila kama hauna hizo ndoto tulia tu upate muda wa kufatilia maombi yako ya mkopo pamoja na vyuo ,
Nimeshuhudia watu niliosoma nao advance wengine niliosoma nao sekondari wakikosa mkopo na wengine kukosa vyuo kabisa au kupata kozi wasizozijua au kuzipenda kutokana na kwenda JKT na kupelekea kukosa muda wa kufatilia maombi ya mkopo na vyuo kwa usahihi, kwani walitegema huko makambini watapata muda na usaidizi ila hawakupata chochote mpaka wengine tukaanza kuwasidia sisi ambao tupo kitaa ,
NiPM Kwa ushauri wa kina zaidi ila kwa ufupi ni hayo mdogo wangu
 
Huwezi kupata...
Kuna mwenzako ilikua hivo hivo alipangiwa ila wakamjaza huku jf..

Leo hii hana mkopo anatafuta mchawi nani..
Sasa wewe endelea hivo hivo humu utapewa moyo tu

Ila mda wenzako wanaponda boom wee unawaza ada utakua peke ako
Acha kudanganya watu mkuu, sikwenda jkt na mkopo nilipata wote.. pia kwenye kuomba mkopo hakuna sehem unacho kiambatanisha hicho cheti cha jkt
 
Acha kudanganya watu mkuu, sikwenda jkt na mkopo nilipata wote.. pia kwenye kuomba mkopo hakuna sehem unacho kiambatanisha hicho cheti cha jkt
Bado ujajua system ilivo mkuu...
Wee tulia hivo hivo ila asije akaja mtu humu kulalamika
 
Kwenye mambo ninayojutia mpaka leo, ni kwenda JKT. Naweza washauri wadogo zangu, kwenda jakata ni kupoteza muda. Kupata mateso na baridi kali, labda kama unatafuta kazi ya ulinzi baadae.
 
Back
Top Bottom