Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Coca nakupataje hapa dasalam dada πππKwenda huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Coca nakupataje hapa dasalam dada πππKwenda huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ujui kituSiyo kweli wanaopangiwa jkt ni idadi ndogo hivyo hao ambao hawakupangwa unamaana hawaendi vyuo vikuu?kama wanaenda nani anawalipa?
Njoo mawasiliano, nakusibir [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca nakupataje hapa dasalam dada [emoji16][emoji16][emoji16]
Kama ujui kitu nyamazajkt na mkopo ni vitu viwili tofauti acha kuwa tisha watoto,labda tu asikidhi vigezo vyakupewa mkopo na asijaze fomu kwa usahihi vinginevyo mkopo anapata bila jkt
we ndo pompoma kabisa hii ndo kazi yangu wadanganye wajinga eti wasipoenda jkt hawapati mkopoKama ujui kitu nyamaza
Kazi yako nini mkuuwe ndo pompoma kabisa hii ndo kazi yangu wadanganye wajinga eti wasipoenda jkt hawapati mkopo
Afisa wa HESLBKazi yako nini mkuu
πππππ
πππ Ujui kitu tulia kama mojaAfisa wa HESLB