min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hakuna furaha bila pesa labda kama bado huna majukumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna furaha bila pesa labda kama bado huna majukumu
Duu,Pamoja na pilikapilika za utafutaji wa pesa ni muhimu ku enjoy life kila upatapo nafasi, siyo kila siku busy busy,
Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, wao muda wa kazi ni kazi inapigwa kwelikweli, lakini ikifika ijumaa jioni ni bata hadi jumapili, jumatatu kazi kama kawaida, kwa mtazamo wangu naona ni jambo zuri kutenga muda wa kufurahia maisha.
Kwa hiyo tusisahau ku enjoy life hata kama ni mara moja moja, shida zipo tu kikubwa ujue namna ya kukabiliana nazo, Hii itakufanya uwe na furaha, na pia kukuepusha na msongo wa mawazo.
Nb.Enjoy life..
kwangu cha muhimu sana usingizi, sijinyimi usingizi
pumzikeni msijidai mahustler
Mkuu,Ninavyojua Mimi katika maisha kila kitu kipya lazima awepo mtu wa kujitoa sadaka. Lazima mtu ajikane mwenyewe achukue jukumu takatifu la kukitoa kizazi chake kilipo. Sasa kwenye hiyo process hapo mwanzo lazima usahau starehe bata nk. Uwe na malengo ya kupata kiasi flan kwaajili ya kufanya jambo flan la kuwatoa hapo mlipo. Napendaga kujitolea mfano mwenyewe. Mimi miaka ya 94 nilichora raman ya maisha yangu. Nikachukua miaka 10 nikagawanya kwa siku nikagundua ili niwe na mtaji kias flan natakiwa kila siku niingize kias flan kwa miaka 10 na nijibane kweli kweli. Mzee ulikuwa uamuzi mgumu na njia ilikuwa ya kiume kweli kweli lakin Mungu alinisaidia. Nikapata mtaji ambao imekuwa ni historia. Huwez kupanga maisha kwa kuwaangalia wazungu mzee. Hao jamaa wana insurance kutoka serikali zao. Akiumwa cjui shule cjui miundo mbinu kila kitu kwao kipo under control ya serIkali. Hapa kwetu ndugu yangu ukiumwa kama huna hela wewe ni wa kujifia tu na hata elimu unayosikia ya bure yaan wanamaanisha northing hakuna elimu pale. So bata lipo tu utakula tengeneza kwanza misingi Chief.ila kumbuka wanaoshangilia siku zote ni washindi. Waangalie wachina wanavyokuja kutafuta life hapa wanavyojitoa mhanga. Pambana Mzee uache kuja kuwaachia watoto laana kwa kutokukutunza.
Hizo motivation ni soga tu utaambiwa furaha siyo pesa ila jaribu uone kuwa na furaha na hauna uhakika wa kula yako ya siku na unadaiwa kodi alafu bado una madeni uone hiyo furaha kama itakuwepo
SawaHizo motivation ni soga tu utaambiwa furaha siyo pesa ila jaribu uone kuwa na furaha na hauna uhakika wa kula yako ya siku na unadaiwa kodi alafu bado una madeni uone hiyo furaha kama itakuwepo
hahahahah!na kweli watz tunaishi kibishi sanaaMkuu sio kwamba Watz wengi hawapendi Bata na asilimia Kubwa pesa ndo tatizo anawaza hiii 10, niteketeze halafu mshahara 300,....Kodi,mtt Yuko St School bus,nauli ,pesa ya chakula,vikoba, marejesho. Yaaani watu wanaishi kibishi sana mpaka Basi.....
Ya kupelekewa moto bibieNna starehe yangu hiyo sijinyimii kabisaa, hata nichokee vipii au niumwe, lazima yaan lazimaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maisha mafupi haya.
👍👌👏🙏Ninavyojua Mimi katika maisha kila kitu kipya lazima awepo mtu wa kujitoa sadaka. Lazima mtu ajikane mwenyewe achukue jukumu takatifu la kukitoa kizazi chake kilipo. Sasa kwenye hiyo process hapo mwanzo lazima usahau starehe bata nk. Uwe na malengo ya kupata kiasi flan kwaajili ya kufanya jambo flan la kuwatoa hapo mlipo. Napendaga kujitolea mfano mwenyewe. Mimi miaka ya 94 nilichora raman ya maisha yangu. Nikachukua miaka 10 nikagawanya kwa siku nikagundua ili niwe na mtaji kias flan natakiwa kila siku niingize kias flan kwa miaka 10 na nijibane kweli kweli. Mzee ulikuwa uamuzi mgumu na njia ilikuwa ya kiume kweli kweli lakin Mungu alinisaidia. Nikapata mtaji ambao imekuwa ni historia. Huwez kupanga maisha kwa kuwaangalia wazungu mzee. Hao jamaa wana insurance kutoka serikali zao. Akiumwa cjui shule cjui miundo mbinu kila kitu kwao kipo under control ya serIkali. Hapa kwetu ndugu yangu ukiumwa kama huna hela wewe ni wa kujifia tu na hata elimu unayosikia ya bure yaan wanamaanisha northing hakuna elimu pale. So bata lipo tu utakula tengeneza kwanza misingi Chief.ila kumbuka wanaoshangilia siku zote ni washindi. Waangalie wachina wanavyokuja kutafuta life hapa wanavyojitoa mhanga. Pambana Mzee uache kuja kuwaachia watoto laana kwa kutokukutunza.
Kijana,punguza kulala .kwangu cha muhimu sana usingizi, sijinyimi usingizi
pumzikeni msijidai mahustler
nimesema sijinyimi usingizi, sijasema nalala sana😂Kijana,punguza kulala .
boom na hela za kupewa zinakutia jeuri.kwangu cha muhimu sana usingizi, sijinyimi usingizi
pumzikeni msijidai mahustler
Wewe huyu?kuna thread nimeona unasema unaangalia movie hadi kunapambazuka😅nimesema sijinyimi usingizi, sijasema nalala sana😂
usingizi muhimu muulize mamdogo mimacho kukosa usingizi ilivyo mateso😂Wewe huyu?kuna thread nimeona unasema unaangalia movie hadi kunapambazuka😅
Sana, inatesa na hivi nina stress ndio kabisa🥴usingizi muhimu muulize mamdogo mimacho kukosa usingizi ilivyo mateso😂
Yeye anakosa usingizi kwa ajilibya nini sasa🤣usingizi muhimu muulize mamdogo mimacho kukosa usingizi ilivyo mateso😂