Ukipata nafasi ya kufurahia maisha usiichezee

Mzee mmoja alikuwa na Slogan yake kuwa kwenye kila 100,000 unayoipata basi hakikisha shilingi 70,000 unaifanyia starehe wakati shilingi 30,000 unaitumia kuwekeza/shughuli za maendeleo

Mwambie waiter yule ampe yule amruke 😜🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…