Ukipata nafasi ya kumshauri Rais kuhusu kuleta wawekezaji ungemshauri alete wawekezaji wa viwanda gani?

Ukipata nafasi ya kumshauri Rais kuhusu kuleta wawekezaji ungemshauri alete wawekezaji wa viwanda gani?

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Je, ungepata nafasi ya kumshauri Rais kuhusu kuleta wawekezaji ungemshauri alete wawekezaji wa viwanda gani.

Toa maoni yako, hapa.

Maoni yako ni muhimu.
 
She should focus on making lots of Black millionaires forget about foreign investors..

Wamejaa hapo Pwani waswahili wanapata nini...
Black millionaires through tax incentives...
 
She should focus on making lots of Black millionaires forget about foreign investors..

Wamejaa hapo Pwani waswahili wanapata nini...
Black millionaires through tax incentives...
Black millionaires, how?
 
Watu wanataka katiba mpya na sio wawekezaji wapya. Wawekezaji wengi kwa sasa wanaogopa kuwekeza Tanzania kwa sababu ya ubovu wa katiba yetu ambao uliweza kujidhihirisha wazi kupitia Magufuli.

Kwa sasa Mama ajipange kukosa usingizi, moto wa kisiasa atakaopelekeshewa na watanzania huenda atajuta kwanini alikuwa rais.
 
Watu wanataka katiba mpya na sio wawekezaji wapya. Wawekezaji wengi kwa sasa wanaogopa kuwekeza Tanzania kwa sababu ya ubovu wa katiba yetu ambao uliweza kujidhihirisha wazi kupitia Magufuli.

Kwa sasa Mama ajipange kukosa usingizi, moto wa kisiasa atakaopelekeshewa na watanzania huenda atajuta kwanini alikuwa rais.
Watu wanataka au nyie wajinga wachache
 
Watu wanataka katiba mpya na sio wawekezaji wapya. Wawekezaji wengi kwa sasa wanaogopa kuwekeza Tanzania kwa sababu ya ubovu wa katiba yetu ambao uliweza kujidhihirisha wazi kupitia Magufuli.

Kwa sasa Mama ajipange kukosa usingizi, moto wa kisiasa atakaopelekeshewa na watanzania huenda atajuta kwanini alikuwa rais.
Yaani utawala wake wote wa siku mia aliuharibu juzi yeye mwenyewe
Asije akaanza lawama ohhoo...
Sijui lissu, mara mbowe
Mi nimwambie watu wamesema atake asitake katiba mpya ni lazima
Kwanini hataki tuzo ya mo ibrahim?
 
Viwanda vya kutengeneza vitu vya kurahisisha maisha ya Kila siku kama mashine za kufua na kuosha vyombo Ili zipatikane kwa gharama nafuu, vitu vya kurahisisha upikaji kwa urahisi vile vya kisasa kwa matumizi ya nyumbani maana chakula ni lazima kwa kila binadamu tatizo sisi bado tunatumia mifumo ya kizamani inayopoteza muda na huduma,

viwanda vya kusindika vyakula kwa ubora Ili Kila chakula kiwe ready to cook, ukinunua nyama iwe imeshakatwa, maharage, mchele uwe umeshachambuliwa Ili kutusaidia muda mwingi utumike kufanya kazi Ili kujiinulia uchumi wa Kila familia, kingine sekita ya media kwaajili ya matangazo ya biashara peke kwa gharama nafuu maana hivyo vitu Ili tununue tutahitaji kutangaziwa,

kwenye viwanda vya kutengeneza vitu ajitahidi sana vipatikane vingi maana sisi niwanunuaji wazuri lakini niwavivu wa kutengeneza maana kutengeneza vitu kunahitaji muda nasisi muda wetu ushaharibiwa kutumika vibaya.
 
Back
Top Bottom