Ukipata wewe ni Genius: Nani mwizi

Ukipata wewe ni Genius: Nani mwizi

point yako kwamba pakistan guy hawezi kula bacon sio sawa, dini yake haijatajwa hapo. sio kila mpakistan ni muislam.

jibu ni rahisi sana, mwizi ni pakistan guy kwa kuwa sababu aliyosema ni ya uongo. sio rahisi kugundua kuwa bendera (ya japan) ipo up-side-down. ile bendera ikigeuzwa utaiona vile vile, huwezi kugundua!

cc olele
Na kwenye meli ili uende juu kwenye bendera lazima upite bridge sehemu ambayo captain huwepo hao wafanyakaz wengine hapo wanafanya kazi below deck
 
Mwizi ni namba tatu, bendera ya Japan hauwezi jua ikiwa upside down. Hii hapa
Flag.GIF
 
point yako kwamba pakistan guy hawezi kula bacon sio sawa, dini yake haijatajwa hapo. sio kila mpakistan ni muislam.

jibu ni rahisi sana, mwizi ni pakistan guy kwa kuwa sababu aliyosema ni ya uongo. sio rahisi kugundua kuwa bendera (ya japan) ipo up-side-down. ile bendera ikigeuzwa utaiona vile vile, huwezi kugundua!

cc olele

YEAH THAT IS THE ANSWER,
WEWE NDO GENIUS WETU WA LEO
Huwezi kujibu hili swali kama huifahamu BENDERA YA JAPANI IKOJE
 
"Si" means umekanusha,
Kama ndio mwalimu wako wa lugha una bonge la 0 hapo.


kizuri zaidi ni kama haiwezi kutokea mwalimu wangu akawa mpiga soga jf na kuonesha ubora wake.
 
Kwani lazima kuweka Pakistani? Nchi zipo nyingi bana
 
Back
Top Bottom