M45
JF-Expert Member
- Aug 20, 2015
- 1,110
- 1,462
Habari zenu,
Kuna mtu ananipa milioni 65 ila anataka nimrudishie faida kwa mwaka sasa naomba mniambie mil65 kwa mwaka inafaa kumrudishia shilingi ngapi maana nafanya nayo biashara pia nikishamrudishia hio fedha bado nitaendelea kubaki na hiyo ela kias ya mil65.
Karibuni
Kuna mtu ananipa milioni 65 ila anataka nimrudishie faida kwa mwaka sasa naomba mniambie mil65 kwa mwaka inafaa kumrudishia shilingi ngapi maana nafanya nayo biashara pia nikishamrudishia hio fedha bado nitaendelea kubaki na hiyo ela kias ya mil65.
Karibuni