Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa Dunia inahitaji watu wanaotafuta maarifa kupitia kujisomea vitabuNitawashauri wawe na tabia ya kupenda kujisomea vitabu mbalimbali kukuza uwezo wa kufikiri ,kinyume apo vijana waache kujiita ni wasomi kwa vielimu vya kukariri shule.
Pia wajaribu kutafuta fursa hadi njee ya mipaka ya Tanzania kuliko kujifungia tu ndani yaan watoke maghetoni.
Mkuu siasa nazo huwa zina shape standards fulani za kimaisha katika taifa ujue. Mara nyingine vyama tawala Africa hupenda kusema hivyo kama Misleading words tu.Wapunguze kulalamikia serikali. Serikali sio baba yako.
Waache kudhani kuna mwanasiasa atakuja kubadilisha maisha yako
Mipaka gani watoke wakati wananyimwa passport, wanazungushwa mpaka watoe chochote kituPia wajaribu kutafuta fursa hadi njee ya mipaka ya Tanzania kuliko kujifungia tu ndani yaan watoke maghetoni.
Mungu ndio kila kitu vijana waliokuwa wanafanikiwa miaka ya 2000 mwanzoni walikuwa wakichangua upande yani nguvu ya kiroho katika kufanya mambo yao ya kimaendeleo mana nguvu ya kiroho ni kama engine gari ata ipambwe vipi bila engine haitembea vijana wengi kwa sasa wameamua kuwa neutral hawapo kwa Mungu hawapo kwa shetani wanaamini katika uwezo wa kielimuWamtegemee MUNGU maana Kama kazi wamefanya Sana na wanafanya Sana Ila matokeo ni 0-0 means we need having the strength of the higher power.
Huu ujumbe ungeuandika chini ya kila komenti za bwana lukas Mwashambwa ningekuona umeshakua mdogo wangu.Mipaka gani watoke wakati wananyimwa visa, wanazungushwa mpaka watoe chochote kitu
Yaani kupata visa mpaka uwe na ndugu yako anayefanya kazi uhamiaji.
Wasomi field tu mtu anaombwa rushwa sembuse kazi
Tenda nyingi wanapewa watu wa nje vijana watafanya nini?
Basi wameamua kujiajiri bado Tra uchwara mambo wanaleta mengi muda mchache huko BRELA sitaki kuongea sana
Kwenda hukoHuu ujumbe ungeuandika chini ya kila komenti za bwana lukas Mwashambwa ningekuona umeshakua mdogo wangu.
Ki kulacho kii nguoni mwako kipenzi.Kwenda huko
Unadhani maelfu ya vijana wasio na ajira hawamtegemei huyo Mungu ndio maana hawana ajira?Wamtegemee MUNGU maana Kama kazi wamefanya Sana na wanafanya Sana Ila matokeo ni 0-0 means we need having the strength of the higher power.
Hakuna taifa lililo endelea kwa vijana wake ku base na mambo ya kiroho.Mungu ndio kila kitu vijana waliokuwa wanafanikiwa miaka ya 2000 mwanzoni walikuwa wakichangua upande yani nguvu ya kiroho katika kufanya mambo yao ya kimaendeleo mana nguvu ya kiroho ni kama engine gari ata ipambwe vipi bila engine haitembea vijana wengi kwa sasa wameamua kuwa neutral hawapo kwa Mungu hawapo kwa shetani wanaamini katika uwezo wa kielimu
Kuheshimu mamlaka zote, na hasa MunguHakika vijana ndo taifa la kesho na nguvu kazi kwa taifa na jamii inayomzunguka, tusipowekeza kwa vijana tunaweza kuja kuwa na jamii na taifa la hovyo hapo mbeleni.
Ni upi ushauri wako ungeliwapa endapo ungepewa nafasi ya kuzungumza nao?
Unadhani maelfu ya vijana wengi ambao hawana ajira hawa mheshimu Mungu?Kuheshimu mamlaka zote, na hasa Mungu