Kwahiyo!Mji umesimikwa taa za solar toka nyamirembe moaka buzirayombo kwa upande wa ziwani,ni zaidi ya kilometa 20,yaani kama unapita na basi ukitokea Mganza usiku kwenda Geita utasema ni iNew York au Jerusalem wanayoimba walokole,pita mchana sasa ni Chalinze copy copy kasoro airport
weka picha basi, ni chato hii hii tunayopita kila siku au ingine. nijuavyo, kwasasa chato mahotel yamekufa, airport yanakaa mabundi, mabenki mengi tu yameondoka, biashara zimefungwa. watu walidhani magu angeishi milele, kumbe hawajui mipango ya Mungu na maombi ya watanzania.Mji umesimikwa taa za solar toka nyamirembe moaka buzirayombo kwa upande wa ziwani,ni zaidi ya kilometa 20,yaani kama unapita na basi ukitokea Mganza usiku kwenda Geita utasema ni iNew York au Jerusalem wanayoimba walokole,pita mchana sasa ni Chalinze copy copy kasoro airport
Picha ziko wapi?Mji umesimikwa taa za solar toka nyamirembe moaka buzirayombo kwa upande wa ziwani,ni zaidi ya kilometa 20,yaani kama unapita na basi ukitokea Mganza usiku kwenda Geita utasema ni iNew York au Jerusalem wanayoimba walokole,pita mchana sasa ni Chalinze copy copy kasoro airport
Soma vizuri uelewe,Chato ya usiku ni tofauti na mchana,usiku mji unawaka taa mchana ni doroooweka picha basi, ni chato hii hii tunayopita kila siku au ingine. nijuavyo, kwasasa chato mahotel yamekufa, airport yanakaa mabundi, mabenki mengi tu yameondoka, biashara zimefungwa. watu walidhani magu angeishi milele, kumbe hawajui mipango ya Mungu na maombi ya watanzania.
Ulitaka zikawekwe Moshi? Machawa wake wangekuuliza.Mji umesimikwa taa za solar toka nyamirembe moaka buzirayombo kwa upande wa ziwani,ni zaidi ya kilometa 20,yaani kama unapita na basi ukitokea Mganza usiku kwenda Geita utasema ni iNew York au Jerusalem wanayoimba walokole,pita mchana sasa ni Chalinze copy copy kasoro airport
wasukuma mna shida sana. kwahiyou litegemea umeme uwashwe mchana? ulitegemea chato ya mchana ingefanana na ya usikiu hata kama umeme ungekuwa wa shida? dah.Soma vizuri uelewe,Chato ya usiku ni tofauti na mchana,usiku mji unawaka taa mchana ni dorooo
hivi umemwelewa huyo bangosha lakini?Sasa huko ziwani taa za kutosha unamulikia samaki au
Bila picha majunguMji umesimikwa taa za solar toka nyamirembe moaka buzirayombo kwa upande wa ziwani,ni zaidi ya kilometa 20,yaani kama unapita na basi ukitokea Mganza usiku kwenda Geita utasema ni iNew York au Jerusalem wanayoimba walokole,pita mchana sasa ni Chalinze copy copy kasoro airport.
Yaani zile simulizi za gamboshi kuwa mji usiku unawaka taa mchana uko doro ndio chato sasa
Hamia hukoMji umesimikwa taa za solar toka nyamirembe moaka buzirayombo kwa upande wa ziwani,ni zaidi ya kilometa 20,yaani kama unapita na basi ukitokea Mganza usiku kwenda Geita utasema ni iNew York au Jerusalem wanayoimba walokole,pita mchana sasa ni Chalinze copy copy kasoro airport.
Yaani zile simulizi za gamboshi kuwa mji usiku unawaka taa mchana uko doro ndio chato sasa
Nasikia Chato imebaki kuwa ghost town yaani mji mtupu!Mji umesimikwa taa za solar toka nyamirembe moaka buzirayombo kwa upande wa ziwani,ni zaidi ya kilometa 20,yaani kama unapita na basi ukitokea Mganza usiku kwenda Geita utasema ni iNew York au Jerusalem wanayoimba walokole,pita mchana sasa ni Chalinze copy copy kasoro airport.
Yaani zile simulizi za gamboshi kuwa mji usiku unawaka taa mchana uko doro ndio chato sasa
Ingenoga sana kama ungetuwekea picha tuoneMji umesimikwa taa za solar toka nyamirembe moaka buzirayombo kwa upande wa ziwani ni zaidi ya kilometa 20.
Yaani kama unapita na basi ukitokea Mganza usiku kwenda Geita utasema ni New York au Jerusalem wanayoimba walokole,pita mchana sasa ni Chalinze copy copy kasoro airport.
Yaani zile simulizi za gamboshi kuwa mji usiku unawaka taa mchana uko doro ndio chato sasa