Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 878
- 2,014
Yaani kabisa mtu mzima na heshima yake (anaitwa mama nyumbani na hata boss ofisini) anapita kwenye tope linalonuka chakula kilichoharibika (kinyesi pia labda kipo maana harufu mbaya) kwenda kununua chakula ambacho analisha watoto, ndugu na marafiki
Ukiridhika kupata chakula chako katika mazingira ambayo yanafanana na banda la nguruwe tofauti yako na nguruwe inakua ni nini?
Mdau hapa analalamika kuhusu uchafu masokoni huko Mbeya katika uzi wake : KERO - Mbeya: Kabwe hapafai kuwa Soko Jioni, ni pachafu kupindukia, tunakaribisha Kipindupindu
Ukiridhika kupata chakula chako katika mazingira ambayo yanafanana na banda la nguruwe tofauti yako na nguruwe inakua ni nini?
Mdau hapa analalamika kuhusu uchafu masokoni huko Mbeya katika uzi wake : KERO - Mbeya: Kabwe hapafai kuwa Soko Jioni, ni pachafu kupindukia, tunakaribisha Kipindupindu