Ukipita Ubungo Flyover lazima umkumbuke Hayati Magufuli

Na hilo tope la Jangwani unadhani limesababishwa na nini? Kabla ya kituo cha mwendokasi pale hapakuwa na utata wa tope, maji na mchanga.

Magufuli akiwa Waziri wa ujenzi ndiye aliyesimamia ujenzi wa mwendokasi ya pale Jangwani
 
Ni kweli, ni kama tunavyoona majengo ya kale ya wakoloni waliyofanya biashahara za watumwa kwa kuwauza mababu zetu kama mifugo. Tukiona tu hayo majengo hatukosi kuwa na kumbukumbu za mateso ya hao wakoloni.
 
Wajinga ndio mliwao.
Ujinga ni kutoelewa. Ubungo Flyover ilifadhiliwa na World Bank wakati wa Kikwete, na design ya ujenzi wake wakati wa Kikwete.
Magufuli alikuta kila kitu kimetayarishwa.
Nani aliyebadili original design?
 
Wajinga ndio mliwao.
Ujinga ni kutoelewa. Ubungo Flyover ilifadhiliwa na World Bank wakati wa Kikwete, na design ya ujenzi wake wakati wa Kikwete.
Magufuli alikuta kila kitu kimetayarishwa.
Utekelezaji nan alifanya
 
Lazima kumkumbuka. Licha ya flyover, barabara ile mpaka leo haijakamilika. Hasa kipande cha airport, wakati ni kifupi tu na wageni wote wanaongia Dar es salaam na kutoka wanakipitia. Viongozi wote wanapitia hapo hapo kila siku. Angekuwepo Magu kingekuwa kimeshaisha.
 
Ni kweli, ni kama tunavyoona majengo ya kale ya wakoloni waliyofanya biashahara za watumwa kwa kuwauza mababu zetu kama mifugo. Tukiona tu hayo majengo hatukosi kuwa na kumbukumbu za mateso ya hao wakoloni.
Leo tunakamata wachawi hapa alafu tunawatag bwana Tindo
 
Na hilo tope la Jangwani unadhani limesababishwa na nini? Kabla ya kituo cha mwendokasi pale hapakuwa na utata wa tope, maji na mchanga.

Magufuli akiwa Waziri wa ujenzi ndiye aliyesimamia ujenzi wa mwendokasi ya pale Jangwani
Yaani Leo tutawajua Huihui2
 
Bwana Huihui2 tena
 
Niliteleza kidogo kiukweli wote wamefanya kazi kubwa sana.
 
Unatutisha na kumbukumbu ukidhani tutaona dhalimu magu alikuwa wa maana sana? Alitekeleza hayo kwa nafasi yake ya kimadaraka sio hisani.
Bwana Tindo pole sana ni bora usiwe unapita kwenye ile Flyover pitia njia ya maji chumvi na njia ya mabibo.
 
Rejea hii mada ya JF ujue Ujenzi ulianza lini 2014. Magu alitafuniwa akaachwa ameze

 
Umeliweka vizuri kuhusu flyover. Wengi hawajui hivyo
 
Umeliweka vizuri kuhusu flyover. Wengi hawajui hivyo
Ukiondoa bwawa la Nyerere na daraja la Busisi miradi mingine mingi ilishaandaliwa na kusainiwa mikataba kuanzia reli,barabara,madaraja flyover za ubungo,Tazara n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…