Ukiposti barua kwenda UK inachukua muda gani kufika kule?

Ukiposti barua kwenda UK inachukua muda gani kufika kule?

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Jana nimekwenda posta kununua stempu na kuposti barua kwenda UK(United Kingdom).

Baada ya kuiweka stempu nikamuuliza yule mdada barua itasafiri vipi?

Akasema, ile barua itapelekwa Dar es Salaam kwanza.

Nikasema,"Oh! kwa hiyo itaondoka ya ndege jioni?"

Akasema,"Hapana. Haitandoka leo. The letters have to be sorted. Lakini itafika London within two weeks"

Sasa,ni sahihi kumwambia mtu kwamba barua ya air mail itachukua wiki mbili kwenda London?
Hata meli sidhani kama inachukua wiki mbili kwenda London.

Kwanini watu wanataka tu chat kila wakati?

Ndio nimekuwa najiuliza jana kwamba haya mabadiliko ya viongozi ya mara kwa mara yamasabavishwa na watu wanazidisha ku chat,au ni nyota tu za wale wati ndio zinawaletea bahati au balaa?
 
Jana nimekwenda posta kununua stempu na kuposti barua kwends UK(United Kingdom).
Baada ya kuiweka stempu nikamuuliza yule mdada barua itasafiri vipi?
Akasema,ile barua itapelekwa Dar es Salaam kwanza.
Nikasema,"Oh!,kwa goyo itaondoka ya ndege jioni?"
Akasema,"Hapana. Haitandoka leo. The letters have to be sorted. Lakini itafika London within two weeks"
Sasa,ni sahihi kumwambia mtu kwamba barua ya air mail itachukua wiki mbili kwenda London?
Hata meli sidhani kama inachukua wiki mbili kwenda London.
Kwa nini watu wanataka tu chat kila wakati?
Ndio nimekuwa najiuliza jana kwamba haya mabadiliko ya viongozi ya mara kwa mara yamasabavishwa na watu wanazidisha ku chat,au ni nyota tu za wale wati ndio xinawaletea bahati au balaa?
Dk Sifuri
 
Jana nimekwenda posta kununua stempu na kuposti barua kwenda UK(United Kingdom).

Baada ya kuiweka stempu nikamuuliza yule mdada barua itasafiri vipi?

Akasema, ile barua itapelekwa Dar es Salaam kwanza.

Nikasema,"Oh! kwa hiyo itaondoka ya ndege jioni?"

Akasema,"Hapana. Haitandoka leo. The letters have to be sorted. Lakini itafika London within two weeks"

Sasa,ni sahihi kumwambia mtu kwamba barua ya air mail itachukua wiki mbili kwenda London?
Hata meli sidhani kama inachukua wiki mbili kwenda London.

Kwanini watu wanataka tu chat kila wakati?

Ndio nimekuwa najiuliza jana kwamba haya mabadiliko ya viongozi ya mara kwa mara yamasabavishwa na watu wanazidisha ku chat,au ni nyota tu za wale wati ndio zinawaletea bahati au balaa?
 
Jana nimekwenda posta kununua stempu na kuposti barua kwends UK(United Kingdom).

Baada ya kuiweka stempu nikamuuliza yule mdada barua itasafiri vipi?

Akasema, ile barua itapelekwa Dar es Salaam kwanza.

Nikasema,"Oh! kwa goyo itaondoka ya ndege jioni?"

Akasema,"Hapana. Haitandoka leo. The letters have to be sorted. Lakini itafika London within two weeks"

Sasa,ni sahihi kumwambia mtu kwamba barua ya air mail itachukua wiki mbili kwenda London?
Hata meli sidhani kama inachukua wiki mbili kwenda London.

Kwanini watu wanataka tu chat kila wakati?

Ndio nimekuwa najiuliza jana kwamba haya mabadiliko ya viongozi ya mara kwa mara yamasabavishwa na watu wanazidisha ku chat,au ni nyota tu za wale wati ndio xinawaletea bahati au balaa?
itachukua within two weeks au humuamini mtumaji
 
Jana nimekwenda posta kununua stempu na kuposti barua kwenda UK(United Kingdom).
Baada ya kuiweka stempu nikamuuliza yule mdada barua itasafiri vipi?
Akasema,ile barua itapelekwa Dar es Salaam kwanza.
Nikasema,"Oh!,kwa hiyo itaondoka ya ndege jioni?"
Akasema,"Hapana. Haitandoka leo. The letters have to be sorted. Lakini itafika London within two weeks"
Sasa,ni sahihi kumwambia mtu kwamba barua ya air mail itachukua wiki mbili kwenda London?
Hata meli sidhani kama inachukua wiki mbili kwenda London.
Kwa nini watu wanataka tu chat kila wakati?
Ndio nimekuwa najiuliza jana kwamba haya mabadiliko ya viongozi ya mara kwa mara yamasababishwa na watu wanazidisha ku chat,au ni nyota tu za wale watu ndio zinawaletea bahati au balaa?
Oiye yai! Nimesoma heading halafu nikaangalia tarehe ya uzi kisha reactions tena nikaangalia mwisho mwa page kwamba zimejaa page ngapi ....
Mkuu inawezekana kweli alifanya hayo? Sina uhakika sana kama bado Posta wanasafirisha barua (Hard copies) tena. Lakini kama ni kweli basi wale vijana .com watakuambia umepitwa na wakati. Pole kwa usumbufu uliokupata. :KEKBye:
 
Barua inapelekwa posta ili isafirishwe.
Kwa nini inatumia wiki mbili kusafiri kutoka posta mpaka airport?
 
Jana nimekwenda posta kununua stempu na kuposti barua kwenda UK(United Kingdom).

Baada ya kuiweka stempu nikamuuliza yule mdada barua itasafiri vipi?

Akasema, ile barua itapelekwa Dar es Salaam kwanza.

Nikasema,"Oh! kwa hiyo itaondoka ya ndege jioni?"

Akasema,"Hapana. Haitandoka leo. The letters have to be sorted. Lakini itafika London within two weeks"

Sasa,ni sahihi kumwambia mtu kwamba barua ya air mail itachukua wiki mbili kwenda London?
Hata meli sidhani kama inachukua wiki mbili kwenda London.

Kwanini watu wanataka tu chat kila wakati?

Ndio nimekuwa najiuliza jana kwamba haya mabadiliko ya viongozi ya mara kwa mara yamasabavishwa na watu wanazidisha ku chat,au ni nyota tu za wale wati ndio zinawaletea bahati au balaa?
Yaan hii ni Skanka au cha Arusha...Mkuu badilisha pusha atakuua
 
Bora umenikumbusha nimuandikie pen pal wangu.
 
Kwann usitumie email?

Hayo majibu uliyopew ni SAHIHI zaid kulko yetu
 
Jana nimekwenda posta kununua stempu na kuposti barua kwenda UK(United Kingdom).
Baada ya kuiweka stempu nikamuuliza yule mdada barua itasafiri vipi?
Akasema,ile barua itapelekwa Dar es Salaam kwanza.
Nikasema,"Oh!,kwa hiyo itaondoka ya ndege jioni?"
Akasema,"Hapana. Haitandoka leo. The letters have to be sorted. Lakini itafika London within two weeks"
Sasa,ni sahihi kumwambia mtu kwamba barua ya air mail itachukua wiki mbili kwenda London?
Hata meli sidhani kama inachukua wiki mbili kwenda London.
Kwa nini watu wanataka tu chat kila wakati?
Ndio nimekuwa najiuliza jana kwamba haya mabadiliko ya viongozi ya mara kwa mara yamasababishwa na watu wanazidisha ku chat,au ni nyota tu za wale watu ndio zinawaletea bahati au balaa?
Kama hukutuma Electronic Mail sahau... hizo stempu mbili barua yako itachukua 2 months!!
 
Back
Top Bottom