Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,732
- 6,561
Ndani ya Hilo fuvu umewekewa hasara tupu.relax gentleman,
dawa ya mihemko na makasiriko yako ni nyimbo bora na nzuri sana za ccm.
sikiliza ule wimbo wa wacha waisomenamba ee ccm mbele kwa mbele,
na utakua umepona kabisa mihemko yako
Praise team naona sikuizi mko na Mungu wenu 😂😁🤣 all in brain 🧠 damagemakasiriko sio issue sana gentleman kwenye ukweli,
nyimbo za ccm zinahamasisha sana umoja na uzalendo kwa waTanzania wote
Brain damage 😂🤣 tafuta kazi ya kufanyaGentleman,
licha ya mihemko na makasiriko, lakini lazima wajibu wa kueleza ukweli kuhusu mambo haya muhimu lazima utekelezwe vyema na bila kuchoka
Akili hauna, wewe ni msindikizaji katika sayari hii nzuri. Na utakufa jinga na masikini kama wewe jinga unawaza nyimbo za matapeli badala ya kazi. Taifa letu limebeba majinga mengi wewe ukiwa kinara. Zee zima jinga na kapuku. Shetani . Mungu ameshaanza kuchukua majinga kama wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisaNyimbo nyingi za CCM zinasisimua sana, zinaondoa uchovu na msongo wa mawazo ukiziskiliza vizuri, na kwakweli ukiziskiliza kwa makini unapata pumzi yenye matumaini na mwangaza mpya kabisa wa kusonga mbele ikiwa umekata tamaa.
Mathalani unapigwa ule wimbo wa waacheni waandamane na ujinga wao, ccm mbele kwa mbele, vijana ni wale wale, tumejipanga mwaka huu wataisoma.
Au ukapigwa ule wimbo wenye maneno, "kazi zinazofanywa na chama big up big up CCM, bila chama cha mapinduzi nchi yetu ingekua wapi, bila chama cha mapinduzi uhuru wetu ungetoka wapi"
Au uweke ule wimbo wa sasa kumekucha jogoo limekwisha wika Dodoma, aise safari inakua fupi, isiyochosha na salama zaidi kwa Neema na Baraka za Mungu.
Furahia nyimbo nzuri sana za kizalendo za CCM, zilizobeba ujumbe mzito mzito na muhimu sana wa hamasa, matumaini, burudani na ujasiri kwa wananchi na kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.
ndugu mdau, huwa unafurahi kwa kiasi gani zinapopigwa nyimbo bora kabisa za CCM?
Na unadhani ni kwanini waTanzania wote wanazipenda na kuhamasika sana na nyimbo nzuri sana za CCM?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Wakati humo njiani unamokatiza wanaichi wake ni maskini wa kutupa na akili zenu zimelelia kwenye kufikiria kuiba kura siku zote wakati wahusika hawawataki,mmebakiwa na chawa kama weweNyimbo nyingi za CCM zinasisimua sana, zinaondoa uchovu na msongo wa mawazo ukiziskiliza vizuri, na kwakweli ukiziskiliza kwa makini unapata pumzi yenye matumaini na mwangaza mpya kabisa wa kusonga mbele ikiwa umekata tamaa.
Mathalani unapigwa ule wimbo wa waacheni waandamane na ujinga wao, ccm mbele kwa mbele, vijana ni wale wale, tumejipanga mwaka huu wataisoma.
Au ukapigwa ule wimbo wenye maneno, "kazi zinazofanywa na chama big up big up CCM, bila chama cha mapinduzi nchi yetu ingekua wapi, bila chama cha mapinduzi uhuru wetu ungetoka wapi"
Au uweke ule wimbo wa sasa kumekucha jogoo limekwisha wika Dodoma, aise safari inakua fupi, isiyochosha na salama zaidi kwa Neema na Baraka za Mungu.
Furahia nyimbo nzuri sana za kizalendo za CCM, zilizobeba ujumbe mzito mzito na muhimu sana wa hamasa, matumaini, burudani na ujasiri kwa wananchi na kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.
ndugu mdau, huwa unafurahi kwa kiasi gani zinapopigwa nyimbo bora kabisa za CCM?
Na unadhani ni kwanini waTanzania wote wanazipenda na kuhamasika sana na nyimbo nzuri sana za CCM?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
KmmkNyimbo nyingi za CCM zinasisimua sana, zinaondoa uchovu na msongo wa mawazo ukiziskiliza vizuri, na kwakweli ukiziskiliza kwa makini unapata pumzi yenye matumaini na mwangaza mpya kabisa wa kusonga mbele ikiwa umekata tamaa.
Mathalani unapigwa ule wimbo wa waacheni waandamane na ujinga wao, ccm mbele kwa mbele, vijana ni wale wale, tumejipanga mwaka huu wataisoma.
Au ukapigwa ule wimbo wenye maneno, "kazi zinazofanywa na chama big up big up CCM, bila chama cha mapinduzi nchi yetu ingekua wapi, bila chama cha mapinduzi uhuru wetu ungetoka wapi"
Au uweke ule wimbo wa sasa kumekucha jogoo limekwisha wika Dodoma, aise safari inakua fupi, isiyochosha na salama zaidi kwa Neema na Baraka za Mungu.
Furahia nyimbo nzuri sana za kizalendo za CCM, zilizobeba ujumbe mzito mzito na muhimu sana wa hamasa, matumaini, burudani na ujasiri kwa wananchi na kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.
ndugu mdau, huwa unafurahi kwa kiasi gani zinapopigwa nyimbo bora kabisa za CCM?
Na unadhani ni kwanini waTanzania wote wanazipenda na kuhamasika sana na nyimbo nzuri sana za CCM?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Gentleman,Wakati humo njiani unamokatiza wanaichi wake ni maskini wa kutupa na akili zenu zimelelia kwenye kufikiria kuiba kura siku zote wakati wahusika hawawataki,mmebakiwa na chawa kama wewe
siyo Tanzania ninayoijua mimi ambayo binadamu na wanyama wanachangia kunywa maji pamojaGentleman,
nadhani kwasasa ni faraja ilioje kwa kila mwananchi kwasababu kila eneo kuna shughuli za kiuchumi zinaendelea mathalan biashara, kilimo, ufugaji, usafirishaji n.k
hii inamaanisha serikali sikivu ya ccm imeaweka mazingira mazuri ambayo yamewakomboa wananchi kutoka kwenye lindi la umasikini wa kutupwa hadi kua na maisha bora.
ni muhimu kua wakweli
Mnatumia bwawa moja,yaani nyani anakunywa hapo,punda,na wewe unateka kwenda nayo nyumbani? Tunaitaji Chadema itukomboewote ni mamalia,
wanakula chakula, wanapumua na kunywa maji pia.
au wewe ulitaka wanyama wanywe maji, halafu binadamu wanywe bia, right?
msongo wa mawazo na mihemko inawaharibu na kuwatesa sana vijana, dah pole gentleman,Yes, ukiwa mjinga usiyeelewa chochote kinachoendelea ndani ya nchi yako ni lazima uta enjoy safari nzima.
Yaani wewe ni sawa na ile idadi ya JK ya 80% ya watanzania hawaelewi kinqchoendelea yaani akili yao sawa na upepo unakovumia na bendera huko huko.
Gentleman,Mnatumia bwawa moja,yaani nyani anakunywa hapo,punda,na wewe unateka kwenda nayo nyumbani? Tunaitaji Chadema itukomboe