mzibua chemba
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 476
- 412
- Thread starter
-
- #61
mkuu ukiuogopa sana ngwengwe unaupata kiulaini sana ila ukiwa jasiri kuupata ni ndoto kamanda pia ule ni ugonjwa wa kishujaaNa mbeya ndio mkoa unaoongoza kwa ngwengwe so jiangalie.
Hata mm ki ukweli siwez that much soon. We cant judge a book by its cover.Tukiachilia mbali suala la soksi, ule ujasiri wa kukutana na mtu siku ya kwanza na kupiga kazi unatoka wapi? Nachukulia suala la mapenzi very serious sio kila mtu unaenda nae na sio suala la yeye kutaka, ntanunua kila kitu tutapiga story nta clear bill kama jamaa yangu kwenye safari yake lakini haimaanishi tupige kazi.
mkuu umelenga mle mle kadem kenyewe ni cha chuo ifm mbona tumelala sinza nimefanya yangu kilainiiii
Nipe mawasiliano yake nimfundishe[emoji45]Nilikaa na mtoto mmoja wa Kiswiss kwenye Swissair alikuwa anaenda kufanya kazi Mbeya, kwao Zurich. Nilikaa naye kutoka Zurich mpaka Dar. Mimi nilikuwa nakuja likizo. Alikuwa mcheshi sana. Akawa anataka mtu wa kujifunza Kiswahili naye. Bahati nzuri au mbaya nikawa busy sana kwenye mambo ya likizo yangu hata sikumfuatilia sana.
Ndo mana walipiga marufukuKweli kabisa ila zamani safari za usiku ilikua Bomba sana,unapima na oil kabisa
mkuu yule mtoto ni kisu hata ungekua ww usingeacha aisee daa
Hamna anayeogopa ngwengwe cz still unaweza upata hata bila kukusudia/kupenda (God Forbid).mkuu ukiuogopa sana ngwengwe unaupata kiulaini sana ila ukiwa jasiri kuupata ni ndoto kamanda pia ule ni ugonjwa wa kishujaa
Mara nyingi mkifika kituoni kila mtu na hamsini zake.
daaa mkuu umeua mbaya kabisa ulipita navyo kaa vingapiNishaopoa sana madem safarini kipindi nikitocha Chuo Arusha nilkua na jamaa yng mmoja pale Kilimanjaro bus stand nikienda kukata ticket namwambia wap kuna mtoto mzurii niweke siti ya pembeni yake"
Ila inacost
hawana shida mkuu na chemba unazibua fresh aisee daa acha tuuHavinaga ujanja Ata awe mrembo vipi,
Huku njiani umeshakinunulia Apple plus redbull,,, ajakaa sawa umemrushia vocha awasiliane na nyumbani!!!
Mkishuka anakufata nyuma Tu Kama mbuzi wa hitima,,,,,,,,,,,,,,,
Kwa kuwa hayo mapenzi mwanamke hawajifanyi wenyewe basi hata wanaume na sisi tumekuwa warahisi kama sio mahayawani.......
Mwanaume mwenye akili timamu na ufahamu wako unaanzaje kumuomba penzi mwanamke mliekutana tu kwenye siti ya basi....!!?? Huu ni zaidi ya upumbavu......
Hilo nilatokeaga sana.Angalia asije akasitisha anapokwenda mkashuka njiani
Umetisha sana mkuu,kwa hiyo keshasepa zake hostel au bado mpo nae hapo sinza?hawana shida mkuu na chemba unazibua fresh aisee daa acha tuu
Vingi 2 mpaka wahudumu, bt kitambo huko. Dar-Aru best bus trip in Tzdaaa mkuu umeua mbaya kabisa ulipita navyo kaa vingapi
niwe nae mpaka sa hv wa nn mkuu? si garama nishasepa zangu mkuuUmetisha sana mkuu,kwa hiyo keshasepa zake hostel au bado mpo nae hapo sinza?
haaa recpect kwa iyo watoto wa kichaga umejipigia sana mkuuVingi 2 mpaka wahudumu, bt kitambo huko. Dar-Aru best bus trip in Tz