Ukisafiri ukakaa na Msichana siti moja, safari inakua fupi sana

Ukisafiri ukakaa na Msichana siti moja, safari inakua fupi sana

Tukiachilia mbali suala la soksi, ule ujasiri wa kukutana na mtu siku ya kwanza na kupiga kazi unatoka wapi? Nachukulia suala la mapenzi very serious sio kila mtu unaenda nae na sio suala la yeye kutaka, ntanunua kila kitu tutapiga story nta clear bill kama jamaa yangu kwenye safari yake lakini haimaanishi tupige kazi.
Hata mm ki ukweli siwez that much soon. We cant judge a book by its cover.

Ila mm binafsi niki concentrate na kumuangalia mtu kwa karibu sanaa na kuskiza maongezi yake...i can tell the character of that person nd what she z like. Roho ikishamkataa naachana nae kabisa.

All in all play it safe.
 
mkuu umelenga mle mle kadem kenyewe ni cha chuo ifm mbona tumelala sinza nimefanya yangu kilainiiii

Havinaga ujanja Ata awe mrembo vipi,

Huku njiani umeshakinunulia Apple plus redbull,,, ajakaa sawa umemrushia vocha awasiliane na nyumbani!!!

Mkishuka anakufata nyuma Tu Kama mbuzi wa hitima,,,,,,,,,,,,,,,
 
Nishaopoa sana madem safarini kipindi nikitocha Chuo Arusha nilkua na jamaa yng mmoja pale Kilimanjaro bus stand nikienda kukata ticket namwambia wap kuna mtoto mzurii niweke siti ya pembeni yake"
Ila inacost
 
Nilikaa na mtoto mmoja wa Kiswiss kwenye Swissair alikuwa anaenda kufanya kazi Mbeya, kwao Zurich. Nilikaa naye kutoka Zurich mpaka Dar. Mimi nilikuwa nakuja likizo. Alikuwa mcheshi sana. Akawa anataka mtu wa kujifunza Kiswahili naye. Bahati nzuri au mbaya nikawa busy sana kwenye mambo ya likizo yangu hata sikumfuatilia sana.
Nipe mawasiliano yake nimfundishe[emoji45]
 
mkuu yule mtoto ni kisu hata ungekua ww usingeacha aisee daa

Sikulaumu mkuu, inategemea na mtu umejiwekea misimamo gani kwenye maisha na umechagua njia gani, ukisu wa msichana haunishawishi kuwa nae. Utavimaliza visu vyote mkuu? Kiranga ameshatahadharisha sio kila kisu kinafaa kuliwa 🙂
 
mkuu ukiuogopa sana ngwengwe unaupata kiulaini sana ila ukiwa jasiri kuupata ni ndoto kamanda pia ule ni ugonjwa wa kishujaa
Hamna anayeogopa ngwengwe cz still unaweza upata hata bila kukusudia/kupenda (God Forbid).

Issue hapa unagongaje mtu mpita njia humjui hakujui tena kavu. Kama utapiga si unavaa gwanda tu hata ww moyoni unakua na amani.
 
Kuna mwanangu pia alikaa seat moja na mtoto mkali,sema Alisumbuliwa sna na hyo Demu...
Hizi kucha zao za BANDIA zilimpa kazi sana mwana,maana demu alikua anamkwaruza nazo Kinamna flan hv,mpk ikabd jamaa avunge Kalala ili kukwepa huo mtihani
So always ktk safari ukikutana na mtoto mkali nabidi utulize mihemko
 
Nishaopoa sana madem safarini kipindi nikitocha Chuo Arusha nilkua na jamaa yng mmoja pale Kilimanjaro bus stand nikienda kukata ticket namwambia wap kuna mtoto mzurii niweke siti ya pembeni yake"
Ila inacost
daaa mkuu umeua mbaya kabisa ulipita navyo kaa vingapi
 
Havinaga ujanja Ata awe mrembo vipi,

Huku njiani umeshakinunulia Apple plus redbull,,, ajakaa sawa umemrushia vocha awasiliane na nyumbani!!!

Mkishuka anakufata nyuma Tu Kama mbuzi wa hitima,,,,,,,,,,,,,,,
hawana shida mkuu na chemba unazibua fresh aisee daa acha tuu
 
Kwa kuwa hayo mapenzi mwanamke hawajifanyi wenyewe basi hata wanaume na sisi tumekuwa warahisi kama sio mahayawani.......

Mwanaume mwenye akili timamu na ufahamu wako unaanzaje kumuomba penzi mwanamke mliekutana tu kwenye siti ya basi....!!?? Huu ni zaidi ya upumbavu......

Mwanamke anatongozwa popote Ni ujasiri wako Tu,

Unaweza kuwa naye bar na chooni watu wakatongoza,,

Labda awe na shape ya sanam la Michelin,
Kidogo naweza vumilia tukasafiri salama!
 
Hawa dada zetu ukiwajulia vitu wanavyotaka wala hawana shida,

Nikiwa form one miaka hiyo ndiyo niliwahi kutongoza demu mwaka mzima na ndiyo nikapata na kukuta Ni bikra, miaka ya 95-96 hiyo!

Lakini kuanzia mwaka 2007 sijawahi kumtaka demu zaidi ya week nikamkosa labda niwe busy au salio alisomi!!!
 
Back
Top Bottom