Ukisafiri ukakaa na Msichana siti moja, safari inakua fupi sana

Ukisafiri ukakaa na Msichana siti moja, safari inakua fupi sana

Ndio maana mama chanja wangu hasafiri peke yake,lazima niende nae au nimpe powerbank (mtoto) akae nae ,tena powerbank yangu kwa umbea ikifika tu home bila kuuliza itanipa hadithi yote,

ukiona mtu anafurahia kukaa siti 1 na mwanamke kwenye bus jua huyo ni domo zege tu
Duuu mkuuu mtoto wamwita pawa benk hahaha
 
Mi nakumbuka majuzi hapa nilisafiri na nikaa na Esther. Niliifurahia sana hiyo safari na kwa kweli ilikuwa fupi mno.

Kwa ndege sijawahi kukaa na mchuchu kwa sababu huwa napanda daraja la kwanza unless labda niwe nimepanda FastJet kwenda mikoano huko.
Ngabu first class cc USA BABY
 
Wenzio wanahonga magar na nyumba wanatabasamu wee kununua viazi na ndege wa kichina povu linakutoka....Lofa weeee
 
Kwani mkuu..kulikuwa na haja gani kulipa bill.? Kila mtu si katoka kwao kivyake
 
dah wewe ulipiga teke bakuli la dhahabu vijana wa sasa wanasema hivyo, au ulipishana na gari la mshahara
Huwezi kujua pengine nina mgodi na mtambo wa kuchapisha noti.

Usitake kula kila kitu. Utakula mpaka sumu.

Hawa watu kama si mtu wa kukutana nao kila siku wanaweza kukusumbua. Lakini wengine tunakutana nao kila siku mpaka tunawakimbia wenyewe.
 
Nilikaa na mtoto mmoja wa Kiswiss kwenye Swissair alikuwa anaenda kufanya kazi Mbeya, kwao Zurich. Nilikaa naye kutoka Zurich mpaka Dar. Mimi nilikuwa nakuja likizo. Alikuwa mcheshi sana. Akawa anataka mtu wa kujifunza Kiswahili naye. Bahati nzuri au mbaya nikawa busy sana kwenye mambo ya likizo yangu hata sikumfuatilia sana.

Mkuu tafuta movie inaitwa Sleeping Dictionary, hapo ndo pake
 
Back
Top Bottom