Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #21
Sasa ukimaliza kunyoa tu hao chap wamefikaMimi namalizana na kinyozi wangu... Akisha maliza kuninyoa namwambia tu anifute na anipake after shave na spirit then naondoka kwenda kuoga nyumbani.
Hao kina dada wana matatizo sana. Kwanza wengi wao hawana uweledi na wanachokifanya... Target yao ni kuwa uchi uchi na kukuamsha hisia ili ujichanganye wapate chochote kitu.
Namba ulitoa kaka?niligoma kuoshwa, jamaa akanabia ni fasta tu,
kufika kwenye kile chumba yule dada katitongoza weee hadi nikakubali nikatoa 15,000. bado na namba kaomba eti nikitaka nimshtue...
This is literally me. Hua nanyoa usiku time ya kwenda homme. Nikifika tu naoga chap.Mimi namalizana na kinyozi wangu... Akisha maliza kuninyoa namwambia tu anifute na anipake after shave na spirit then naondoka kwenda kuoga nyumbani.
Hao kina dada wana matatizo sana. Kwanza wengi wao hawana uweledi na wanachokifanya... Target yao ni kuwa uchi uchi na kukuamsha hisia ili ujichanganye wapate chochote kitu.
Akafanya scrub nikamlipa 20k, nikasepa. Siendekezi ngono mimiMwisho wake ulikuaje
Hahaha wewe kidume umetoshaAkafanya scrub nikamlipa 20k, nikasepa. Siendekezi ngono mimi
Kumbe hadi vinyozi nao wanahusika kwenye huu mchezoKweli mkuu, hata baadhi ya saluni vinyozi pia wanajua mchezo wote, maana wanagongeana lunch, vocha dinner,.. etc. Na wengine wanaletwa na bao vinyozi kwa kazi maalum.
Tena anakuosha kwa pupa mpaka maji yanaingia puani, afadhali mtu aende akaoshe hom tuThis is literally me. Hua nanyoa usiku time ya kwenda homme. Nikifika tu naoga chap.
Maswala ya kuoshwa na jitu hulijui. Nimekataa
Sasa ukimaliza kunyoa tu hao chap wamefika
Brother.
Hicho kipara hakija ungua kweli??? Afu kwanini hujatuma Picha?? Nimechekaa mpaka tumbo linauma
This is literally me. Hua nanyoa usiku time ya kwenda homme. Nikifika tu naoga chap.
Maswala ya kuoshwa na jitu hulijui. Nimekataa
Afadhali sehemu ambayo wanafahamu utaratibu wako, ukienda sehem alaf mgeni ndyo wanaona fursa imefikaSio huduma ya lazima hio.. Akikuuliza unakataa tu kwamba hauhitaji huduma yao.
Mimi na nyoa sehemu moja mara nyingi nikiwa sijatoka maeneo yangu. Hivyo wameshanijua na kuzoea... Wakiniona hata hawana papara na mimi. Utaratibu wangu wanaujua.
Afadhali sehemu ambayo wanafahamu utaratibu wako, ukienda sehem alaf mgeni ndyo wanaona fursa imefika
Na ukizubaa unajikuta na namba umechukuaWatu wana maarifa yakutafuta pesa. Na wanaume ni weak sana akiona tu paja la mwanamke ,wengine wamekuwa na uraibu kwenda kwenye hizi saloon ili tu kuminywa minywa ,kushikwa shikwa,kutomaswa tomaswa ,ile nayo ni kama aina nyingine ya ngono.
Nilisema hapana kaka, sindyo upara ukawekwa motoNaona una udhaifu wa kusema hapana.. Haswa kwa mtoto wa Kike... ππ
Utaumia sana kwenye maisha haya ya sasa.
Wengi ni matapeli, yani unaacha hela nyingi kwa kushikwa shikwa tu kidevuMimi unyoa kwa kinyozi na siyo barbershop, barbershop zilizo nyingi kuna mambo ya hatari
Ungekaa vibaya ungemeza na povu kabisa πNikadhani hii kadhia nilipata peke yangu kumbe wadau mko wengi hivi mimi maji yalimiminwa kwenye masikio