Ukisema tu haufanyi scrub unaoshwa kama unabatizwa aisee!

Ukisema tu haufanyi scrub unaoshwa kama unabatizwa aisee!

Yap..
Nadhani wale warembo malipo yao hutegemea idadi ya watu waliofanyia Scrub, nk. Sasa ukichomoa unapunguza mpunga wao.

Mmoja aliniambia: nafanya Scrub, massage..

Mimi: mbona kuna viti tu, kitanda kiko wapi?
Mrembo: hapana, tuna viti tu
Mimi: massage utanifanyia vipi bila kitanda?
Mrembo: inawezekana kaka, maana nakufanyia tu kichwani, shingoni na mabegani.
Mimi: basi hiyo siyo massage...
Ila sio vyema kuleta makasiriko, wengine hawawezi kuvumilia na yaweza sababisha ugomvi.
 
nimesoma comment za watu humu minecheka sana. ila kuepuka hayo kipara tafuta mtu akunyoe sio lazima saloon mfano mimi nanyolewa na mke wangu kwahyo huduma kama scrub na masaji ya kichwa napata bureee kabisa tena kwa mahaba tele...,


hao madem nao wanatafuta kipato ila sio ustaarabu kumuumiza mtu kisa hajataka huduma fulani
Hii imekaa poa sana, mkuu uliwezaje kumtrain shemej...... 🤔
Au huwa unanyoa kipara kama kaka mkubwa hapo juu (maana hyo style ndo huwa haina mambo mengi)
 
Habari za jioni Wakuu

Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.

Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.

Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.

Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Mara ya mwisho kwenda saloon nadhani ilikua mwaka jana July.
Kunyoa kipara saloon niliona usumbufu maana kila week saloon. Jamaa yangu alikua ananinyoa home. Mwishoe nikanunua mashine nikajifunza kujinyoa mwenyewe mpaka na wembe. Ingawa wembe ni changamoto bado.
Scrub nikihitaji nafanya mwenyewe.

Kuhangaishana na wadada wa saloon nishaacha mtu unalazimishwa kufanya huduma mpaka kero.
 
Habari za jioni Wakuu

Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.

Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.

Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.

Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Kilimshinda moto ulikuwa mkali ama vipi!
 
Habari za jioni Wana Jf

Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.

Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.

Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.

Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Hii ni kweli kabisa naunga mkono hoja zote
 
Back
Top Bottom