Ukisema tu haufanyi scrub unaoshwa kama unabatizwa aisee!

Ukisema tu haufanyi scrub unaoshwa kama unabatizwa aisee!

Hii imekaa poa sana, mkuu uliwezaje kumtrain shemej...... 🤔
Au huwa unanyoa kipara kama kaka mkubwa hapo juu (maana hyo style ndo huwa haina mambo mengi)
mwendo wa kipara mkuu maelekezo kidogo tu.... ila anapenda kunyoa ni kama kipaji chake
 
Habari za jioni Wana Jf

Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.

Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.

Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.

Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Unapocopy hizi contents za watu uwe unatoa credit mazee
 
Vile vi saloon, huwa mataperi Sana, unakuta ka saloon kadogo, hakana hata air conditioning,anayefsnya scrub ni mdada Hana mvuto, mchafu mchafu, ukimaliza, wanakuambia gharama elfu kumi!
Shenzi kabisa
 
Vile vi saloon, huwa mataperi Sana, unakuta ka saloon kadogo, hakana hata air conditioning,anayefsnya scrub ni mdada Hana mvuto, mchafu mchafu, ukimaliza, wanakuambia gharama elfu kumi!
Shenzi kabisa
Siku hizi mjini kila sehem ukizubaa unatapeliwa kwa huduma zisizo fikia hadhi ya pesa unayo toa.
 
Habari za jioni Wana Jf

Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.

Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.

Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.

Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Hahahahahaha. Akaona upara wako ndio pakupoozea ujoto wa kitambaa ambacho mikono imeshindwa kuhimili. Pole sana
 
Habari za jioni Wana Jf

Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.

Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.

Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.

Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Taja hiyo saloon ili tujihadhari tukiwa tunaenda. Na ikiwezekana muhudumu ili boss wake amfanyie uchunguzi
 
Back
Top Bottom