Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Huwa nikimaliza kunyoa siendi kuoshwa nanyookea kwa mhasibu wanji Guest au ngome kujiweka sawa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi hukumu zote.... Taja uliyoenda automatically zingine zitajirekebishaSidhani kama ni saloon moja tu yenye hizi tabia, imekuwa tabia ya kawaida kwa saloon nyingi hapa town.
Lengo lilikuwa kufikisha ujumbe na kero tunazo pitia wateja na sio kumtaja mtu.Huwezi hukumu zote.... Taja uliyoenda automatically zingine zitajirekebisha
Nikienda saloon nikirudi home naingia pekeyangu nalala pekeyangu, bado naishi mwenyewe na upara wangu. Sema ni jambo zuri siku mama mtu akiwepo na kutekeleza hilo.Kipara sio kitu cha kuendea saloon kama una mke au mpenzi....
Daka clipper yako manful grooming then anakua unanyolewa kwa mahaba na scrub ya bure unapata mixer head massage.
Au wakutajie zile scrub zao, wewe useme unataka ya bei rahisi...mmoja alinifanyia scrub moja ya vurugu mpaka nikamwambia basi sitaki na silipii hiyo scrub. Nikaondoka kwa hasira.Habari za jioni Wana Jf
Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.
Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.
Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Kweli kabisa, mmoja baada ya mimi kugoma scrub ya bei kubwa, akaniambia kabisa sina hela.. alikuwa na hasira balaa, alinisugua kama msasa.Saloon ambazo wanaofanya scrub ni wasichana usipotongoza utasuguliwa kama mbao na msasa
Siku Wakikutana na watu wakorofi watapewa za usoAu wakutajie zile scrub zao, wewe useme unataka ya bei rahisi...mmoja alinifanyia scrub moja ya vurugu mpaka nikamwambia basi sitaki na silipii hiyo scrub. Nikaondoka kwa hasira.
Maumivu si ya mda mrefu ila mwanzo nilishtuka kama nimepigwa shoti kichwaniKwa hiyo upara umeungua Mkuu?
Malizia story mkuuKwenye bango la salon waliandika bei za kawaida na VIP. Sikufikiria tofauti yake, wakati naenda vyumba vya warembo nikawaambia VIP. Heee kumbe kule akawa ananifanyia scrub huku kavaa kamtandio.
Ha ha haaaa....!!! Mi wangu alikuwa ananichora tu ila nilipokataa kuoshwa akaniambia, "bahati yako"Kuna siku nipo na Mrs baada ya kunyoa,kidada chuchu hizoo kikaniambia ingia huku chumba kingine kuoshwa, nikawa naeleka Mrs akainuka akanikamata mkono akaniambia stupid ukaoshwe kwani wewe mtoto nilimind kinomaaa.
Ni jambo jema kusema mke ndio awe anamfanyia mmewe scrub ,changamoto iliyopo watu wengi wanaishi mke na mme kulea watoto tu lakini hakuna romance,wala madavidavi ,watu wanaishi bora liende ,sasa watu unakuta hata hawaongei wamenuniana hivi inawekana kufanyiana grooming la hasha ndio maana wengine labda wanaamua kwenda kushikwa shikwa na watoto kwenye masaloon kuondoa stress.Kipara sio kitu cha kuendea saloon kama una mke au mpenzi....
Daka clipper yako manful grooming then anakua unanyolewa kwa mahaba na scrub ya bure unapata mixer head massage.
Duh huyu wa kwako ni wa kwenda nae kanisani tuu 😄Kuna siku nipo na Mrs baada ya kunyoa,kidada chuchu hizoo kikaniambia ingia huku chumba kingine kuoshwa, nikawa naeleka Mrs akainuka akanikamata mkono akaniambia stupid ukaoshwe kwani wewe mtoto nilimind kinomaaa.
Basi nenda kinyozi ya kawaida... sababu scrub hata mwenyewe unajisugua freshNikienda saloon nikirudi home naingia pekeyangu nalala pekeyangu, bado naishi mwenyewe na upara wangu. Sema ni jambo zuri siku mama mtu akiwepo na kutekeleza hilo.
Ni wewe ndio uliandika ujumbe kama huu kule Twitter au ni copy n paste?Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
Kwamba mnanuniana 30 days a month.....Ni jambo jema kusema mke ndio awe anamfanyia mmewe scrub ,changamoto iliyopo watu wengi wanaishi mke na mme kulea watoto tu lakini hakuna romance,wala madavidavi ,watu wanaishi bora liende ,sasa watu unakuta hata hawaongei wamenuniana hivi inawekana kufanyiana grooming la hasha ndio maana wengine labda wanaamua kwenda kushikwa shikwa na watoto kwenye masaloon kuondoa stress.
Ule n mchanga unapakwa usoniSijamgusa mimi, nilikataa tu kupakwa yale mafuta yenye vijiwe jiwe