Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #121
😂 Sijui sasa huo mchanga ndy unafanya mtu an'gae auUle n mchanga unapakwa usoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 Sijui sasa huo mchanga ndy unafanya mtu an'gae auUle n mchanga unapakwa usoni
Mimi nimeandika hapa, huko X sijui nani aliandikaNi wewe ndio uliandika ujumbe kama huu kule Twitter au ni copy n paste?
Ni kweli kabsa, anakuosha kichwa utafikiri anaosha viazi.Mimi namalizana na kinyozi wangu... Akisha maliza kuninyoa namwambia tu anifute na anipake after shave na spirit then naondoka kwenda kuoga nyumbani.
Hao kina dada wana matatizo sana. Kwanza wengi wao hawana uweledi na wanachokifanya... Target yao ni kuwa uchi uchi na kukuamsha hisia ili ujichanganye wapate chochote kitu.
Mimi nimeandika hapa, huko X sijui nani aliandika
So then, what
Pole broHabari za jioni Wana Jf
Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.
Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.
Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
#BM
Huenda wanaangalia sura ya mteja mwenyewe. Mimi kila kitu wakinijitajia ninakataa na sijawahi kufanyiwa ukatili huo.Habari za jioni Wana Jf
Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.
Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.
Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
#BM
🤣🤣🤣Habari za jioni Wana Jf
Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.
Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.
Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
#BM
😂😂😂Nilisema hapana kaka, sindyo upara ukawekwa moto
Mvinyo mpya we ni pumbafuuu kabisa shenziiii 🤣🤣🤣🤣🤣Hicho kipara ungempa akiminye minye ina raha fulani hivi ubongo unasimama kwa muda!
Unakuwa umewapunguzia kipato, so hawajiskii vizuri. Pole sana kwa kukutana na makasiriki hayo. Huwa inatokea sana.Habari za jioni Wana Jf
Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.
Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.
Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.
Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.
#BM
Ukifanyiwa na hao wahudumu wa kike, lazima mnara usome...Wanajiongeza lol!
Hatari sana kwa afya lo
Siku watakutana na mtu mbishi watachezea vitasaUnakuwa umewapunguzia kipato, so hawajiskii vizuri. Pole sana kwa kukutana na makasiriki hayo. Huwa inatokea sana.
Noma sana mkuu, maumivu yake sio poa kabisa"kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu."😁😁😁
Aisee, pole sana mkuu 😄😄Noma sana mkuu, maumivu yake sio poa kabisa