Ukisema tu haufanyi scrub unaoshwa kama unabatizwa aisee!

Ukisema tu haufanyi scrub unaoshwa kama unabatizwa aisee!

Mimi namalizana na kinyozi wangu... Akisha maliza kuninyoa namwambia tu anifute na anipake after shave na spirit then naondoka kwenda kuoga nyumbani.

Hao kina dada wana matatizo sana. Kwanza wengi wao hawana uweledi na wanachokifanya... Target yao ni kuwa uchi uchi na kukuamsha hisia ili ujichanganye wapate chochote kitu.
Ni kweli kabsa, anakuosha kichwa utafikiri anaosha viazi.
 
Mimi nimeandika hapa, huko X sijui nani aliandika
1000071373.jpg
 
Habari za jioni Wana Jf

Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.

Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.

Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.

Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.

#BM
Pole bro
 
Habari za jioni Wana Jf

Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.

Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.

Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.

Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.

#BM
Huenda wanaangalia sura ya mteja mwenyewe. Mimi kila kitu wakinijitajia ninakataa na sijawahi kufanyiwa ukatili huo.

Lakini,wanaonekana kutofurahia wateja tusiotaka huduma za ziada.

Kwa Tz haishangazi ,lakini. Maana huduma kwa wateja ni changamoto kubwa. Wengi ukishaingia ofisini mwao,hawategemei usiwaungishe. Kuondoka bila kuwaungisha kwao wanakuona mdhambi.

Dawa ni wewe kuwa firm na mwenye msimamo. Huwezi chezewa.
 
Habari za jioni Wana Jf

Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.

Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.

Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.

Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.

#BM
🤣🤣🤣
 
Habari za jioni Wana Jf

Kwa wale ambao mara kwa mara mnapata huduma katika hizi saloon za kisasa, mtakuwa mnafahamu vyema huduma zitolewazo mule.

Baadhi ya saloon ukigoma kufanya scrub, utaoshwa kichwa kwa fujo na gadhabu kubwa.

Nayasema haya maana niligoma na nilinyoa upara sasa kakichovya kitambaa kwenye maji ya moto kikamshinda kakitupa kichwani kwangu.

Sijui kwanini wanapata makasiriko pale mteja anapo kataa kufanya huduma nyingine za ziada.

#BM
Unakuwa umewapunguzia kipato, so hawajiskii vizuri. Pole sana kwa kukutana na makasiriki hayo. Huwa inatokea sana.
 
Back
Top Bottom