Ni kwel ndio ujue jf hakunaga vilaza.Sio kweli
Sifa ni hiziiii....
1. Ujuaji kila kitu
2.ubishi na kutokubali kushindwa
3.utajiri
4. Kuwa mchukia serikali, yaani hata mods wakifuta uzi wako unaishitumu serikali ya ccm
5.Mpinga singlemother hii kwa ME😄
Kwel kabisa kuna dogo mmoja ndie alie nifahamisha jf yule jamaa anayo pesa, tena pesa za kutisha kweli mpaka leo sijui hata id yake, tupo wa kawaida ila vipanga wa hatari wapo pia.Sasa mtu ambae hana exposure yamambo anawezaje kujiunga jf, fanya tafiti hapo mtaani kwako niwangap wanaijua jf nakuitumia ndo utajua jf sio yakila mtu kama fb
Umesahau...Sifa za mwanaJF
1. Wote humu ni wasomi. Graduates wa UDSM, SUA na MUHAS ni wengi zaidi.
2. Kila mtu humu ni kipanga. Wote tulifanya vizuri shuleni. Kila mtu ana A ya Physics hata kama aliamua kusoma HKL.
3. MwanaJF ni mtu mwenye hela. Mishahara na biashara kubwa.
4. Hakuna mwenye tatizo la nguvu za kiume. Afya ziko imara.
5. Hakuna mwanaJF ambaye hajawahi kusafiri nchi za nje. Airports kubwa kubwa zote tumefika.
6. Hakuna aliye tayari kuoa single mother.
7. Wote tuna upeo mkubwa kwenye mambo ya siasa.
Sisi tunaokaa spenko shimo la mavi vingunguti, hii thread haituhusu au sio.. ?Umesahau...
8.Tunaishi Masaki, Mikocheni, Oysterbay, Mwbeni, Msasani penisula au Upanga....
9.Tuna nyumba na geti kubwa...
10.Tuna magari ya mke, watoto, na hausboy kwenda shambani huko Kigamboni au Bagamoyo....
Kweli kabisa mtu kujiunga JF na kuutumi huu mtandao lazima atakuwa ana akili IQ kubwa SanaSasa mtu ambae hana exposure yamambo anawezaje kujiunga jf, fanya tafiti hapo mtaani kwako niwangap wanaijua jf nakuitumia ndo utajua jf sio yakila mtu kama fb
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahSisi form 2 C
Na graduates wa Teku tunakaa kundi gani?
Hayo ndiyo maoni yako???Sifa za mwanaJF
1. Wote humu ni wasomi. Graduates wa UDSM, SUA na MUHAS ni wengi zaidi.
2. Kila mtu humu ni kipanga. Wote tulifanya vizuri shuleni. Kila mtu ana A ya Physics hata kama aliamua kusoma HKL.
3. MwanaJF ni mtu mwenye hela. Mishahara na biashara kubwa.
4. Hakuna mwenye tatizo la nguvu za kiume. Afya ziko imara.
5. Hakuna mwanaJF ambaye hajawahi kusafiri nchi za nje. Airports kubwa kubwa zote tumefika.
6. Hakuna aliye tayari kuoa single mother.
7. Wote tuna upeo mkubwa kwenye mambo ya siasa.
Cyabonga JesusSifa za mwanaJF
1. Wote humu ni wasomi. Graduates wa UDSM, SUA na MUHAS ni wengi zaidi.
2. Kila mtu humu ni kipanga. Wote tulifanya vizuri shuleni. Kila mtu ana A ya Physics hata kama aliamua kusoma HKL.
3. MwanaJF ni mtu mwenye hela. Mishahara na biashara kubwa.
4. Hakuna mwenye tatizo la nguvu za kiume. Afya ziko imara.
5. Hakuna mwanaJF ambaye hajawahi kusafiri nchi za nje. Airports kubwa kubwa zote tumefika.
6. Hakuna aliye tayari kuoa single mother.
7. Wote tuna upeo mkubwa kwenye mambo ya siasa.
Upo binti?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
TrueSio kweli
Sifa ni hiziiii....
1. Ujuaji kila kitu
2.ubishi na kutokubali kushindwa
3.utajiri
4. Kuwa mchukia serikali, yaani hata mods wakifuta uzi wako unaishitumu serikali ya ccm
5.Mpinga singlemother hii kwa ME😄