min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ni kwel ndio ujue jf hakunaga vilaza.Sio kweli
Sifa ni hiziiii....
1. Ujuaji kila kitu
2.ubishi na kutokubali kushindwa
3.utajiri
4. Kuwa mchukia serikali, yaani hata mods wakifuta uzi wako unaishitumu serikali ya ccm
5.Mpinga singlemother hii kwa ME😄