Ukishawagawa watu hutoweza kuwaongoza

Ukishawagawa watu hutoweza kuwaongoza

Una maoni gani juu ya sytem ya 'Divide and rule'?
 
Sikuwahi kuona manufaa yoyote kwenye utawala wa JPM zaidi ya propaganda zake tu, Kama mwananchi wa kawaida doa kubwa litakalo mtesa mama ni kudandia kesi ya Mbowe
Hiyo ya mbowe ingekuwa ndogo kama ndani ya chama chake kungekua na nguvu iliyosimama lakini watu wengi ndani ya chama chake wamemchoka ila amebaki na sifa za kwenye majukwaa tu.

Pia huku chini hali ni ngumu biashara haziendi, pesa za shida zaidi kuwahi kutokea vitu bei juu huku watu wake wakitoa kashfa kwa mtangulizi wake na kujitengenezea ufisadi huku wakimsifia.

Kwa sasa ndani ya CCM Kuna kundi la kumshangilia mama hata akikosea na kumtukana magufuli
na kundi la kupamba na watukanaji hao na wale wa chadema wanaotukana magufuli na kwa uchache wakikitetea chama chao
 
Haya ni malalamiko kwa kundi mtoa hoja ameliita Sukuma gang, alipo libariki kundi hili ndipo ulipopoteza hoja yako kwani umeingia kwenye kundi lile wanapigania legacy za serikali iliyopitwa wakati legacy hujitetea yenyewe. Hata wewe ungepata uraisi baada ya Magufuli usingeyakubali yote ungependa kurekebisha hapa na pale. Awamu iliyopita na rais wake walikuwa ni watu wanaweza kukosea vile vile na kukubali kukosolewa ndio ustaarabu ambapo haukuwepo kwenye awamu iliyopita na kupelekea maumivu kwa watu wengi and kuligawa Taifa na ndio chanzo cha makundi haya ya Sukuma gang. Tukubali tu era imepita na hakuna cha zaidi ya kupiga kelele ili wakiona na kuamua kuyachukua ni uamuzi wao. Ila sijaona alipopotoka Rais wa sasa kurekebisha ni haki yake na matarajio ya watu hata kama wachache. Kutokuridhika kwa kundi hili sio mtazamo wa watanzania wote (60 million) bali kikundi which can be ingnore tu unless mtoa mada anihakikishie hiyo research aliifanya lini and what was the sample size iliyompelekea kusema watanzania wengi hawafurahishwi. CCM ni ilele poleni.
 
Nyie wapuuzi wa chato Embu kwendeni huko!

Hivi hamjishtukii kila muda na bi thread vyenu visivyo na kichwa wala miguu?

Kuna mtu aliyewagawa watanzania Kama mpuuzi wenu aliyesema live hawezi kupeleka maendeleo kwa watu wanaopigia kura upinzani?

Nyie jamaa ni wajinga na washamba sana na kibaya zaidi hamjui kuwa ni wajinga na washamba sana

Ni Magufuli au Nani aliyesemaga wastaafu wanawashwa washwa?
Wew ulipata teuzi endelea kupambana kusifia na kutetea ila muda unakuja sijui utasifia nani huko mbele
Tunachtaka kwa sasa hali iwe nzuri huku chini vitu vishuke bei namisha yawe nafuu nasio kuendelea kuumia huku nabmagalama makubwa ya kila kitu na pesa hakuna.
 
Mi sidhani kama anawashauri wazuri wa siasa..JPM kwa kiasi kikubwa ni kiongozi amegusa maisha ya watu wengi ingawa alikuwa ni babe, kisiasa kuamua kupambana nae amepoteza wafuasi wengi sana sababu ukweli ni kwamba JK watu hawamkubali. Kipimo kizuri ni chanjo ya corona..ajiulize kwann watu hawachanji kama wanamsikiliza, so yeye suala la magufulia angetumia busara sana sababu linaweza kuwamaliza kisiasa ikitokea kuna kundi likajitenga esp watu wanaotoka kanda ya ziwa na wakawa na ushawishi, uchaguzi utakuwa mbaya sana. Ngoja tuone..tunaokaa mtaani tunajua hisia za watu. Watu hawataki tena viongozi legelege.
 
Mtoa mada upo sahihi kabisa.
Kitendo cha kuacha baadhi ya Wabunge tena wa CCM kumdhihaki JPM bila kuwakemea kumezidisha hasira kwa Watanzania wengi sana.
Ikumbukwe kuwa, JPM alipendwa sana na Wananchi kutokana na kuwajali sana Wanyonge, kusimamia kwa nguvu zote utekelezaji wa miradi mbalimbali, ambayo kwa hakika ina manufaa kwa Wananchi.
Mambo mema aliyoyafanya JPM yanaonekana, na kila Mtanzania anayaona, hivyo JPM atakumbukwa milele kutona na hayo.
Kwa hiyo, ukijaribu tu kumdhihaki JPM, ujue unawadhihaki Watanzania wote wenye mapenzi mema na JPM, na wanaompenda JPM ni wengi mno kuliko mtu anavyofikiri.
Kabla hujafikiri kumdhihaki JPM, fikiri kwanza athari zake.
JPM anakumbukwa kwa kutufanya Watanzania Kufurahi na kuona fahari kuuana Sisi kwa Sisi kwa sababu za tofauti za Kisiasa.
 
Wew ulipata teuzi endelea kupambana kusifia na kutetea ila muda unakuja sijui utasifia nani huko mbele
Tunachtaka kwa sasa hali iwe nzuri huku chini vitu vishuke bei namisha yawe nafuu nasio kuendelea kuumia huku nabmagalama makubwa ya kila kitu na pesa hakuna.
Nimepata uteuzi gani?
 
Hana atakachokipoteza ,yy mwenyewe anajua fka ,lazma wajumbe watamla kichwa ,asbh mapema ,kwenye kura za maoni.na hata Kama atafanyiwa support ,wapga kura wa nje wataigeuka ccm,na kutoa support kwa opposition !!
 
Ndani ya ccm ni kweli hatapata kura ila ukweli ni kwamba ndiye atakuwa candidate wa ccm. Hii yote ni faida ya mfumo mzuri unaomlinda mwenyekiti ndani ya chama alioasisi Magufuli.
Ni kweli pia nje ya ccm baada ya kupitishwa wanaccm watamgeuka ila pia atashinda kwa sababu ya mifumo mibovu ya upigaji na uhesabuji kura aliyoasisi Magufuli. Hivyo no way, huyu mama ni raisi wetu mpaka 2025 na akitaka kuendelea zaidi ya hapo hakuna wa kumzuia. Effect ya Magufuli kwa nchi itatusumbua muda mrefu sana vinginevyo Samia aamue kuwa muungwana alegeze mifumo aliyorithi toka kwa mwenda zake
Hana atakachokipoteza ,yy mwenyewe anajua fka ,lazma wajumbe watamla kichwa ,asbh mapema ,kwenye kura za maoni.na hata Kama atafanyiwa support ,wapga kura wa nje wataigeuka ccm,na kutoa support kwa opposition !!
 
Hiyo ya mbowe ingekuwa ndogo kama ndani ya chama chake kungekua na nguvu iliyosimama lakini watu wengi ndani ya chama chake wamemchoka ila amebaki na sifa za kwenye majukwaa tu.

Pia huku chini hali ni ngumu biashara haziendi, pesa za shida zaidi kuwahi kutokea vitu bei juu huku watu wake wakitoa kashfa kwa mtangulizi wake na kujitengenezea ufisadi huku wakimsifia.

Kwa sasa ndani ya CCM Kuna kundi la kumshangilia mama hata akikosea na kumtukana magufuli
na kundi la kupamba na watukanaji hao na wale wa chadema wanaotukana magufuli na kwa uchache wakikitetea chama chao
Umemaliza kila kitu,,,maisha magumu khaaaa
 
Haya ni malalamiko kwa kundi mtoa hoja ameliita Sukuma gang, alipo libariki kundi hili ndipo ulipopoteza hoja yako kwani umeingia kwenye kundi lile wanapigania legacy za serikali iliyopitwa wakati legacy hujitetea yenyewe. Hata wewe ungepata uraisi baada ya Magufuli usingeyakubali yote ungependa kurekebisha hapa na pale. Awamu iliyopita na rais wake walikuwa ni watu wanaweza kukosea vile vile na kukubali kukosolewa ndio ustaarabu ambapo haukuwepo kwenye awamu iliyopita na kupelekea maumivu kwa watu wengi and kuligawa Taifa na ndio chanzo cha makundi haya ya Sukuma gang. Tukubali tu era imepita na hakuna cha zaidi ya kupiga kelele ili wakiona na kuamua kuyachukua ni uamuzi wao. Ila sijaona alipopotoka Rais wa sasa kurekebisha ni haki yake na matarajio ya watu hata kama wachache. Kutokuridhika kwa kundi hili sio mtazamo wa watanzania wote (60 million) bali kikundi which can be ingnore tu unless mtoa mada anihakikishie hiyo research aliifanya lini and what was the sample size iliyompelekea kusema watanzania wengi hawafurahishwi. CCM ni ilele poleni.
Mwandiko wa la nne B
 
Ukisha wagawa watu hutoweza kuwaongoza. Samia ashafeli mapema hatofanikiwa kwa kiwango kikubwa.

Samia alipopata madaraka ukweli watanzania wengi walikuwa wanampenda Sana, si CCM, si Chadema Wala ACT wote walikuwa na matumaini makubwa. Samia hotuba zake za kwanza zilikuwa na matumaini, zilikuwa zinaunganisha taifa yaani ilikuwa raha kumsikiliza. Badae Samia alibadilika na kuanza kugawa watu.

1. Samia alianza kubagua, kuwadharau na vijembe kwa watu waliokuwa kwenye serikali ya Magufuli (mnawaita Sukuma gang) akamtoa Bashiru, akamtoa Kakoko, Akamtoa Chamliho, akamtoa kalemani, akamtoa AG, sio vibaya kufanya mabadiliko Ila mabadiliko hayo yameleta minongono, na kuonyesha kuwa Samia alkuwa hakubaliani na JPM. Hii iliongeza chuki kwa watu mnaowaita Sukuma gang

2. Kuacha watu wamdhiaki Magufuli,, hii haikuwa poa, Magufuli alikemea waziwazi watu waliokuwa wanawatukana Mkapa na Kikwete, unaweza angalia video ya JPM Ile siku aliyokutana na John Thornton Chairman wa Barric Gold,alikemea waziwazi kwa watu wanaowatukana JK na BWK. Kupitia ili watu waliokuwa wanamuunga mkono JPM wamemchukia Samia.

3. Kesi ya Mbowe ndo funga kazi, Chadema walionekana kumuunga mkono Samia, mpaka Mbowe akaomba kuonana nae, from no where Mbowe akapewa bogus terrorism charges, Chadema ni Chama kikubwa whatever we like or not, ukishamfunga Mbowe unapoteza uungwaji mkono wa watu wengi Sana, Chadema inawanachama wengi almost 8m, hao ni watu wengii.Now kila mwana Chadema anamchukia Samia.

4. Kufukuza machinga mijini kwa Bara uku Zanzibar wanapiga kazi vizuri.

Kwa hayo Rais SSH, kwa hayo aliyoyatenda ashawagawa watu believe me hawezi fanikiwa Tena, na picha yenyewe ashaanza kuipata kwenye ziara zake,maana zinadoda hatari, bado nafasi anayo ya kurekebisha.
Heri nusu shari kuliko shari kamili
 
Nyie wapuuzi wa chato Embu kwendeni huko!

Hivi hamjishtukii kila muda na bi thread vyenu visivyo na kichwa wala miguu?

Kuna mtu aliyewagawa watanzania Kama mpuuzi wenu aliyesema live hawezi kupeleka maendeleo kwa watu wanaopigia kura upinzani?

Nyie jamaa ni wajinga na washamba sana na kibaya zaidi hamjui kuwa ni wajinga na washamba sana

Ni Magufuli au Nani aliyesemaga wastaafu wanawashwa washwa?
😅😅😅😅
 
Ukisha wagawa watu hutoweza kuwaongoza. Samia ashafeli mapema hatofanikiwa kwa kiwango kikubwa.

Samia alipopata madaraka ukweli watanzania wengi walikuwa wanampenda Sana, si CCM, si Chadema Wala ACT wote walikuwa na matumaini makubwa. Samia hotuba zake za kwanza zilikuwa na matumaini, zilikuwa zinaunganisha taifa yaani ilikuwa raha kumsikiliza. Badae Samia alibadilika na kuanza kugawa watu.

1. Samia alianza kubagua, kuwadharau na vijembe kwa watu waliokuwa kwenye serikali ya Magufuli (mnawaita Sukuma gang) akamtoa Bashiru, akamtoa Kakoko, Akamtoa Chamliho, akamtoa kalemani, akamtoa AG, sio vibaya kufanya mabadiliko Ila mabadiliko hayo yameleta minongono, na kuonyesha kuwa Samia alkuwa hakubaliani na JPM. Hii iliongeza chuki kwa watu mnaowaita Sukuma gang

2. Kuacha watu wamdhiaki Magufuli,, hii haikuwa poa, Magufuli alikemea waziwazi watu waliokuwa wanawatukana Mkapa na Kikwete, unaweza angalia video ya JPM Ile siku aliyokutana na John Thornton Chairman wa Barric Gold,alikemea waziwazi kwa watu wanaowatukana JK na BWK. Kupitia ili watu waliokuwa wanamuunga mkono JPM wamemchukia Samia.

3. Kesi ya Mbowe ndo funga kazi, Chadema walionekana kumuunga mkono Samia, mpaka Mbowe akaomba kuonana nae, from no where Mbowe akapewa bogus terrorism charges, Chadema ni Chama kikubwa whatever we like or not, ukishamfunga Mbowe unapoteza uungwaji mkono wa watu wengi Sana, Chadema inawanachama wengi almost 8m, hao ni watu wengii.Now kila mwana Chadema anamchukia Samia.

4. Kufukuza machinga mijini kwa Bara uku Zanzibar wanapiga kazi vizuri.

Kwa hayo Rais SSH, kwa hayo aliyoyatenda ashawagawa watu believe me hawezi fanikiwa Tena, na picha yenyewe ashaanza kuipata kwenye ziara zake,maana zinadoda hatari, bado nafasi anayo ya kurekebisha.
Uko sahihi mkuu, lakini kuna mtu bingwa wa kutukana wenzie kama Jiwe?
 
Back
Top Bottom