Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
KaribuHR 666 Ndio nani kwenye nchi hii ya giza??? Jamani wahaya mnajua kujikweza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] natania mkuu mchana mwema
ww ni mgeni JF?Sikufaham kabisa mkuu ntaandika tu RIP
utakisikia tu kwa njia yoyote ileUzuri hata kifo chako sitakisikia wala kupata habari zake.
sio neno zuri hilokwa kufa kwa ngoma
utakisikia tu kwa njia yoyote ile
Chicken headHa ha haaa, au utawatumia mods ujumbe kwamba una Rest In Peace ili watujulishe JF?
Chicken head
Kwan hamna members wa JF ninaojuana nao humu
Anajiona Lunyamila....kumbe kiazi tuHivi dogo umeshajiona watu wanakujua sana eeeeenh? Umaarufu hauji hivyo dogo, Nani akujue kwa mapost yako yasiyo na kichwa wala chura
We kazana na shule achana na mengine
jinga kubwa! acha ushamba!
Mi mwenyeji mmu sasa ww hata cheo cha umod jf huna tukukumbuke kwa lipi mkuuww ni mgeni JF?