Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujajibu swali langu!weka ushahidi hapa kama umejiunga jf 2011
NdioWewe jamaa siku hizi mbili sikuelewi ,uko salama kweli ?
SawaNdio
sema mume wangu sio jamaawe jamaa unapenda sana kiki humu jf halaf kwa mwanaume haipendezi
Saa zingine tuwe makini na hizi head line za post maan nimejikuta napoteza muda kufuatilia HR 666 ni nani nikifiki ni dude la kutisha,maana najua mpinga kristo ndio anatumia hizo triple 6!Mi mwenyeji mmu sasa ww hata cheo cha umod jf huna tukukumbuke kwa lipi mkuu
LinamoUmaarufu kazi sana
angejua kuwa tuko watu maarufu humu ndani ambao hata hatujikwezi hahahaaaaHivi dogo umeshajiona watu wanakujua sana eeeeenh? Umaarufu hauji hivyo dogo, Nani akujue kwa mapost yako yasiyo na kichwa wala chura
We kazana na shule achana na mengine