Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kumbe umepanga kufaliki???? Me cjawah waza hilo suala aisewwSiku zote hapa duniani watu wakiwa hai huwa hawapewi sifa zao stahiki mpaka pale wanapofariki ndio umuhimu wao unapoonekana
Sasa tuje kwenye mada kuu,hivi siku nikifariki utanikumbuka kwa lipi? Kitu gani utakikumbuka sana kutoka kwangu? Ujumbe gani ulipenda unipe ila ilishindikana kwa sababu mbalimbali za kibinadamu
Uwanja ndio huu sasa funguka
Kwa nini mkuu?Binafsi nitafurahi sana maana kati ya watu ovyo nawe umo.
Kila nafsi itaonja mauti[emoji31] [emoji31] [emoji31]
username hiyoHr 666 ndio kitu gani??
ha ha ha ha ha haNitaukumbuka ule uzi wako na Yeez
Kitendo cha kusema hivyo ni ushahidi tosha kama unanijuaHivi dogo umeshajiona watu wanakujua sana eeeeenh? Umaarufu hauji hivyo dogo, Nani akujue kwa mapost yako yasiyo na kichwa wala chura
We kazana na shule achana na mengine
OkThred ya hovyo kuliko zote tangu mwaka huu uanze
sawaAnajiona Lunyamila....kumbe kiazi tu
ndio mimiKwani HR 66666 Ndo nan
So
Safi mkuu umempatia huyojinga kubwa! acha ushamba!
Celebrity wa JFNdiye nani huyo jamani?
we unacho?Mi mwenyeji mmu sasa ww hata cheo cha umod jf huna tukukumbuke kwa lipi mkuu
HR 666 hujambo?Nitaukumbuka ule uzi wako na Yeez
sawa ajuzaMiaka 24...daah jf ya sasa watoto wengi