Ukisikia HR 666 amefariki utamkumbuka kwa lipi

Mkuu kumbe umepanga kufaliki???? Me cjawah waza hilo suala aiseww
 
Haya tujaalie ya kuwa utakumbukwa na kila mwana JF...
Wewe utapata faida gani sasa!?.
 
Hivi dogo umeshajiona watu wanakujua sana eeeeenh? Umaarufu hauji hivyo dogo, Nani akujue kwa mapost yako yasiyo na kichwa wala chura

We kazana na shule achana na mengine
Kitendo cha kusema hivyo ni ushahidi tosha kama unanijua
Ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…