Ukisikia kiongozi anaitwa Dikteta ujue amewaminyia makanjania ulaji

Ukisikia kiongozi anaitwa Dikteta ujue amewaminyia makanjania ulaji

Lazima dhambi ya kupiga risasi mchana kweupe na kumuua Ben saanane lazima yupo motoni
Kwa mujibu wa Dr. Slaa, Ben alitekwa na kikosi maalum cha chadema na kuuwawa. Haya ameyasema katibu mkuu, mtendaji mkuu wa chama ambapo kikosi hicho kilikua kina report kwake.

Ben Saanae waulizwe chadema.
 
Chini ya Magufuli shirika kama TANESCO liliweza ku-break even na kutengeneza faida pamoja na kuvunja mikataba ya kitapeli kama ya IPTL, Symbioni nk. Miaka 60 tanesco ilikua ni hasara tu ila mdani ya miaka 5 shirika likatengeneza faida. Soma vitabu vya hesabu vya tanesco ana report ya CAG inasema yote.

Makanjanja hawasemi hayo mafanikio makubwa, wao kila siku alikua dikteta, watuambie huo udikteta umetuletea faida gani na hasara gani, wasitaje hasara tu.

Alooo viva magufuli
 
Ukisikia kiongozi anaitwa Dikteta ujue ameminyia makanjanja wa nchi ulaji.

Makanjanja wa nchi wanataka na wao wapate kula, wafaidi mema ya nchi hivyo humsema kiongozi dikteta kwa sababu amewaminyia ulaji.

Ukisikia makanjanja wanapiga kelele sio kwa niaba ya wananchi, ni kwa niaba yao. Mfano, Gadhafi alikua anaitwa dikteta na makanjanja wa nje na ndani huku akiwafanyia wananchi kila kitu na wananchi hawakua na shida na Ghadafi.

Rais Kikwete aliweza kuishi vizuri na makanjanja wa ndani na nje kwa sababu aliwaruhusu kula nchi, kufaidi nchi huku nchi ikijaa rushwa, utendaji mbovu, uzembe wa watumishi wa umma, wizi, mikataba mibovu, na kila aina ya ujinga. Yeye alifanikiwa kua anawaita makanjanja ikulu wanakunywa juice pamoja, wana 'rub shoulders '.

Magufuli aliwabania makanjanja wetu wa kisiasa, akaelekeza nguvu kwenye ujenzi wa miradi na miundombinu ya kimkakati ya nchi kwa miaka mingi ijayo, miaka zaidi ya 50 ijayo, SGR, JNHP, hospitali kila wilaya, hospitali za kanda kila kanda, maduka ya madawa ya serikali kila wilaya, kila hospitali, miundombinu ya maji, barabara, shule, vyuo, umeme wa elfu 25(hapa tanesco ilijikusanyia wateja 1.2M kwa miaka 5 wakati kwa miaka 60 ya uhuru ilikua na wateja 1.8m tu hivyo kufikisha wateja 3m), kuhamishia serikali Dodoma ku de- conjest mji wa Dar es salaam, umeme kupatikana muda wote, chakula bei rahisi watanzania walikua wanakula milo 3 kwa siku bila wasiwasi na mambo mengine mengi ya msingi.

Cha ajabu makanjanja wanakwambia alikua dikteta, aliminya uhuru wa habari. Sasa uhuru wa habari ungelea hayo maendeleo ama ungejrnga SGR? Watu wanataka maendeleo ama wanataka uhuru wa habari.

Rais Samia ameamua kula na makanjanja, anawaita ikulu wa rub shoulders, huwezi kusikia wanapiga kelele tena kuhusu maisha ya Watanzania. Leo Tanzania maharage kilo moja ni 4,500 hadi 5,000 sawa na kilo ya nyama. Lakini ajabu makanjanja wao wanaongelea udikiteta wa Magufuli.

Naomba kuwakumbusha makanjanja, mkisimama kusema udikiteta wa Magufuli pia semeni na mazuri aliyoyafanya ndani ya huo udikiteta wake, semeni alikua dikteta sana hadi kujenga SGR ama JNHP, sio tu kusema Dikteta.
Lkn kulijaa mauaji ya kisiasa, utekaji, watu kupewa kesi kisa hakubaliani au hafuati apendacho kiongoz, watu wakaibiwa fedha zao na kikundi ndan ya uongoz!! Mi Nadhan tuwe tu wakwel.. hakuna atakae kuja Rais ndan ya utawala huu na katiba hii eti awe mzalendo hakuna! Never ever!!! CCM wote wanajuana vzr, wanajua kila mbunge, waziri, makatibu na viongoz wote mafekechee yao yote!! Uzalendo haujawahi kuepo baada ya JKN!!
 
Lkn kulijaa mauaji ya kisiasa, utekaji, watu kupewa kesi kisa hakubaliani au hafuati apendacho kiongoz, watu wakaibiwa fedha zao na kikundi ndan ya uongoz!! Mi Nadhan tuwe tu wakwel.. hakuna atakae kuja Rais ndan ya utawala huu na katiba hii eti awe mzalendo hakuna! Never ever!!! CCM wote wanajuana vzr, wanajua kila mbunge, waziri, makatibu na viongoz wote mafekechee yao yote!! Uzalendo haujawahi kuepo baada ya JKN!!
Mauaji ya kisiasa nani mwanasiasa aliuwawa chini ya Magufuli?
Utekaji nani alitekwa? Usisahau Dr. Slaa alisema Chadema walikua na kikosi maalum cha kuteka na kuua.

Nani aliibiwa fedha kwa nguvu, nani alipewa kesi kwa sababu hakubaliani na kiongozi.

Ukitoa tuhuma utoe na ushindi kidogo basi sio unasema tu jumla jumla. Nipe majina ya hao walioekwa, kuchukuliwa pesa zao ana kuuwawa.

Halafu uzalendo maana yake unaijua, ni kuoenda nchi yako. Mtu anaeipenda nchi yake ndio mzalendo. Mtu anaeamzisha miradi ya maendeleo ya kusaidia nchi kwa miaka 60 ijayo ambayo yeye mwenyewe hatakuwepo utasema sio mzalendo?
 
Chini ya Magufuli shirika kama TANESCO liliweza ku-break even na kutengeneza faida pamoja na kuvunja mikataba ya kitapeli kama ya IPTL, Symbioni nk. Miaka 60 tanesco ilikua ni hasara tu ila mdani ya miaka 5 shirika likatengeneza faida. Soma vitabu vya hesabu vya tanesco ana report ya CAG inasema yote.

Makanjanja hawasemi hayo mafanikio makubwa, wao kila siku alikua dikteta, watuambie huo udikteta umetuletea faida gani na hasara gani, wasitaje hasara tu.
Mtumieni Gwajima akamfufue
 
Mauaji ya kisiasa nani mwanasiasa aliuwawa chini ya Magufuli?
Utekaji nani alitekwa? Usisahau Dr. Slaa alisema Chadema walikua na kikosi maalum cha kuteka na kuua.

Nani aliibiwa fedha kwa nguvu, nani alipewa kesi kwa sababu hakubaliani na kiongozi.

Ukitoa tuhuma utoe na ushindi kidogo basi sio unasema tu jumla jumla. Nipe majina ya hao walioekwa, kuchukuliwa pesa zao ana kuuwawa.

Halafu uzalendo maana yake unaijua, ni kuoenda nchi yako. Mtu anaeipenda nchi yake ndio mzalendo. Mtu anaeamzisha miradi ya maendeleo ya kusaidia nchi kwa miaka 60 ijayo ambayo yeye mwenyewe hatakuwepo utasema sio mzalendo?
Tayar unaleta theoretical issue za Slaa wakat leo hii hawez sema tena hizo kaul na anataka kujirudisha CDM!! Kuna Ben saanane, azory, mawazo, mdude, LISSU kumiminiwa risas! Ni kipi unataka uonyeshwe zaid ya hayo? Mamb ambayo hayahitaj akili mingi kuelewa!
 
Mauaji ya kisiasa nani mwanasiasa aliuwawa chini ya Magufuli?
Utekaji nani alitekwa? Usisahau Dr. Slaa alisema Chadema walikua na kikosi maalum cha kuteka na kuua.

Nani aliibiwa fedha kwa nguvu, nani alipewa kesi kwa sababu hakubaliani na kiongozi.

Ukitoa tuhuma utoe na ushindi kidogo basi sio unasema tu jumla jumla. Nipe majina ya hao walioekwa, kuchukuliwa pesa zao ana kuuwawa.

Halafu uzalendo maana yake unaijua, ni kuoenda nchi yako. Mtu anaeipenda nchi yake ndio mzalendo. Mtu anaeamzisha miradi ya maendeleo ya kusaidia nchi kwa miaka 60 ijayo ambayo yeye mwenyewe hatakuwepo utasema sio mzalendo?
Kuna binadamu wengine mko na roho ya ki ibilisi kabisa. Huna tofauti na yule Ibilisi.
 
Tayar unaleta theoretical issue za Slaa wakat leo hii hawez sema tena hizo kaul na anataka kujirudisha CDM!! Kuna Ben saanane, azory, mawazo, mdude, LISSU kumiminiwa risas! Ni kipi unataka uonyeshwe zaid ya hayo? Mamb ambayo hayahitaj akili mingi kuelewa!
Theoretical issue zipi wakati zimesemwa na katibu mkuu, mtendaji mkuu wa chama. That is taken at face value kwa sababu ni first hand information.

Tuanze na mawazo, huyu alikufa hata kabla Magufuli hajawa rais, ilikua kipindi cha kampeni. Hivyo huu ni uzushi tu umeleta.

Ben na Azory, tuseme waliuwawa na Magufuli kama unavyotaka tuamini ila mimi naamini alichosema Dr. Slaa kwamba chama kilikua na kikosi maalumu cha kuua na kuteka hivyo hawa ni victims wa hicho kikosi.

Mdude hana impact yoyote, ni mropokaji tu asie na staha, kinachomgharimu ni matusi, hana nidhamu, hana heshima hata kwa wanaomzidi umri. Ni matokeo ya malezi mabaya, bad parenting.

Lissu, I am sorry kwa kweli kwa jamaa na kilichomtokea, I am glad yuko hai.

So hayo ndio mauaji, utekaji, udhulumu wa pesa kwenye akaunti, kupewa kesi za uongo uliousema mwanzo? I thought una concrete evidences kumbe ni hearsay na uzushi tu.

Mbona kipindi cha kikwete waandishi waliuwawa, walitekwa kina Dr Olimboka na yule mwandishi alipigwa Bomu Iringa na yule dokta wa UD wa katiba sioni ukisema ni dikteta, ama wao hawakua watu wa maana ila kina Azory ndio wa maana sana hadi Magufuli apewe udikteta?

Umetoa ama mmekua mkutoa very serious allegations dhidi ya Magufuli, ukiombwa ushidi majina ni hayo hayo Azory, Mdude, Ben, sijui nani. Stori tu za kutunga na kuzusha zisizo na ushahidi.
 
Ukisikia kiongozi anaitwa Dikteta ujue ameminyia makanjanja wa nchi ulaji.

Makanjanja wa nchi wanataka na wao wapate kula, wafaidi mema ya nchi hivyo humsema kiongozi dikteta kwa sababu amewaminyia ulaji.

Ukisikia makanjanja wanapiga kelele sio kwa niaba ya wananchi, ni kwa niaba yao. Mfano, Gadhafi alikua anaitwa dikteta na makanjanja wa nje na ndani huku akiwafanyia wananchi kila kitu na wananchi hawakua na shida na Ghadafi.

Rais Kikwete aliweza kuishi vizuri na makanjanja wa ndani na nje kwa sababu aliwaruhusu kula nchi, kufaidi nchi huku nchi ikijaa rushwa, utendaji mbovu, uzembe wa watumishi wa umma, wizi, mikataba mibovu, na kila aina ya ujinga. Yeye alifanikiwa kua anawaita makanjanja ikulu wanakunywa juice pamoja, wana 'rub shoulders '.

Magufuli aliwabania makanjanja wetu wa kisiasa, akaelekeza nguvu kwenye ujenzi wa miradi na miundombinu ya kimkakati ya nchi kwa miaka mingi ijayo, miaka zaidi ya 50 ijayo, SGR, JNHP, hospitali kila wilaya, hospitali za kanda kila kanda, maduka ya madawa ya serikali kila wilaya, kila hospitali, miundombinu ya maji, barabara, shule, vyuo, umeme wa elfu 25(hapa tanesco ilijikusanyia wateja 1.2M kwa miaka 5 wakati kwa miaka 60 ya uhuru ilikua na wateja 1.8m tu hivyo kufikisha wateja 3m), kuhamishia serikali Dodoma ku de- conjest mji wa Dar es salaam, umeme kupatikana muda wote, chakula bei rahisi watanzania walikua wanakula milo 3 kwa siku bila wasiwasi na mambo mengine mengi ya msingi.

Cha ajabu makanjanja wanakwambia alikua dikteta, aliminya uhuru wa habari. Sasa uhuru wa habari ungelea hayo maendeleo ama ungejrnga SGR? Watu wanataka maendeleo ama wanataka uhuru wa habari.

Rais Samia ameamua kula na makanjanja, anawaita ikulu wa rub shoulders, huwezi kusikia wanapiga kelele tena kuhusu maisha ya Watanzania. Leo Tanzania maharage kilo moja ni 4,500 hadi 5,000 sawa na kilo ya nyama. Lakini ajabu makanjanja wao wanaongelea udikiteta wa Magufuli.

Naomba kuwakumbusha makanjanja, mkisimama kusema udikiteta wa Magufuli pia semeni na mazuri aliyoyafanya ndani ya huo udikiteta wake, semeni alikua dikteta sana hadi kujenga SGR ama JNHP, sio tu kusema Dikteta.
Kwa sababu huna akili ndiyo maana unaandika yasiyokuwa na akili.
 
Magufuli is a dictator
Idd amin is a dictator
More list of dictator below!
#Mostly_Deadliet dictator of the world!

most ruthless leaders of all time

°
3/11 Magufuli (aka bulldozer/ Mtalimia meno) of Tanzania 2015-2021
  • 4/11. Timur. ...
  • 5/11. Queen Mary I (aka Bloody Mary) Reign: 1553-1558. ...
  • 6/11. Vladimir Lenin. Reign: 1917-1924. ...
  • 7/11. Joseph Stalin. Reign: 1922-1953. ...
  • 8/11. Adolf Hitler. Reign: 1933-1945. ...
  • 9/11. Mao Zedong. Reign: 1949-1976. ...
  • 10/11. Idi Amin. Reign: 1971-1979. ...
  • 11/11. Augusto Pinochet. Reign: 1973-1990.
 
Mtu asiefaa kua kiongozi hata wa kijiwe cha kahawa aliwezaje kutengeneza ama kuanzisha miradi ya maendeleo ya nchi ambayo itaisaidia nchi kwa zaidi ya miaka 60 ijayo?

Huo uhovyo unaipimaje? Kwa kuanzisha SGR, JNHP, hospitali kila wilaya, hospitali za kanda kila kanda na mkoa? Hiyo ndio hovyo kwa mtazamo wako sio? Aisee.
Ndugu, unaumiza kichwa bure unategemea majibu stahiki, ila jamii umeiona mwenyewe, cool tutavuka
 
Theoretical issue zipi wakati zimesemwa na katibu mkuu, mtendaji mkuu wa chama. That is taken at face value kwa sababu ni first hand information.

Tuanze na mawazo, huyu alikufa hata kabla Magufuli hajawa rais, ilikua kipindi cha kampeni. Hivyo huu ni uzushi tu umeleta.

Ben na Azory, tuseme waliuwawa na Magufuli kama unavyotaka tuamini ila mimi naamini alichosema Dr. Slaa kwamba chama kilikua na kikosi maalumu cha kuua na kuteka hivyo hawa ni victims wa hicho kikosi.

Mdude hana impact yoyote, ni mropokaji tu asie na staha, kinachomgharimu ni matusi, hana nidhamu, hana heshima hata kwa wanaomzidi umri. Ni matokeo ya malezi mabaya, bad parenting.

Lissu, I am sorry kwa kweli kwa jamaa na kilichomtokea, I am glad yuko hai.

So hayo ndio mauaji, utekaji, udhulumu wa pesa kwenye akaunti, kupewa kesi za uongo uliousema mwanzo? I thought una concrete evidences kumbe ni hearsay na uzushi tu.

Mbona kipindi cha kikwete waandishi waliuwawa, walitekwa kina Dr Olimboka na yule mwandishi alipigwa Bomu Iringa na yule dokta wa UD wa katiba sioni ukisema ni dikteta, ama wao hawakua watu wa maana ila kina Azory ndio wa maana sana hadi Magufuli apewe udikteta?

Umetoa ama mmekua mkutoa very serious allegations dhidi ya Magufuli, ukiombwa ushidi majina ni hayo hayo Azory, Mdude, Ben, sijui nani. Stori tu za kutunga na kuzusha zisizo na ushahidi.
[emoji2935]
 
Ukisikia kiongozi anaitwa Dikteta ujue ameminyia makanjanja wa nchi ulaji.

Makanjanja wa nchi wanataka na wao wapate kula, wafaidi mema ya nchi hivyo humsema kiongozi dikteta kwa sababu amewaminyia ulaji.

Ukisikia makanjanja wanapiga kelele sio kwa niaba ya wananchi, ni kwa niaba yao. Mfano, Gadhafi alikua anaitwa dikteta na makanjanja wa nje na ndani huku akiwafanyia wananchi kila kitu na wananchi hawakua na shida na Ghadafi.

Rais Kikwete aliweza kuishi vizuri na makanjanja wa ndani na nje kwa sababu aliwaruhusu kula nchi, kufaidi nchi huku nchi ikijaa rushwa, utendaji mbovu, uzembe wa watumishi wa umma, wizi, mikataba mibovu, na kila aina ya ujinga. Yeye alifanikiwa kua anawaita makanjanja ikulu wanakunywa juice pamoja, wana 'rub shoulders '.

Magufuli aliwabania makanjanja wetu wa kisiasa, akaelekeza nguvu kwenye ujenzi wa miradi na miundombinu ya kimkakati ya nchi kwa miaka mingi ijayo, miaka zaidi ya 50 ijayo, SGR, JNHP, hospitali kila wilaya, hospitali za kanda kila kanda, maduka ya madawa ya serikali kila wilaya, kila hospitali, miundombinu ya maji, barabara, shule, vyuo, umeme wa elfu 25(hapa tanesco ilijikusanyia wateja 1.2M kwa miaka 5 wakati kwa miaka 60 ya uhuru ilikua na wateja 1.8m tu hivyo kufikisha wateja 3m), kuhamishia serikali Dodoma ku de- conjest mji wa Dar es salaam, umeme kupatikana muda wote, chakula bei rahisi watanzania walikua wanakula milo 3 kwa siku bila wasiwasi na mambo mengine mengi ya msingi.

Cha ajabu makanjanja wanakwambia alikua dikteta, aliminya uhuru wa habari. Sasa uhuru wa habari ungelea hayo maendeleo ama ungejrnga SGR? Watu wanataka maendeleo ama wanataka uhuru wa habari.

Rais Samia ameamua kula na makanjanja, anawaita ikulu wa rub shoulders, huwezi kusikia wanapiga kelele tena kuhusu maisha ya Watanzania. Leo Tanzania maharage kilo moja ni 4,500 hadi 5,000 sawa na kilo ya nyama. Lakini ajabu makanjanja wao wanaongelea udikiteta wa Magufuli.

Naomba kuwakumbusha makanjanja, mkisimama kusema udikiteta wa Magufuli pia semeni na mazuri aliyoyafanya ndani ya huo udikiteta wake, semeni alikua dikteta sana hadi kujenga SGR ama JNHP, sio tu kusema Dikteta.
Siyo kweli. Unataka kusema Idd amini aliitwa dictator kwa sababu aliwanyima watu ulaji! Unataka kusema Adolf hiltler aliwanyima watu ulaji! No. Dictator no dictator tu we kwa elimu yako ndogo unaona dictator siyo dictator. Sukulaumu wewe ila hiyo elimu yako ya SAUT imekupumbaza. Njoo udsm uwe critical thinker lakini kama una div one tena pcm
 
Back
Top Bottom