Ukisikia kiongozi anaitwa Dikteta ujue amewaminyia makanjania ulaji

Msio na akili hua mnategemea taarifa za kuambiwa.

Elimu niliyonayo na vyuo nilivyosoma hakuna mtu kwenye ukoo wenu atakuja kuvisoma. Chuo cha majalalani ndio umesoma halafu unataka ujadoliane na mimi?
 
Msio na akili hua mnategemea taarifa za kuambiwa.

Elimu niliyonayo na vyuo nilivyosoma hakuna mtu kwenye ukoo wenu atakuja kuvisoma. Chuo cha majalalani ndio umesoma halafu unataka ujadoliane na mimi?
Una elimu Gani we kima? Mi Nina masters ya Telecomunication engineering kutoka CoeT na miaka Ile ulikuwa huwezi kusoma course hiyo bila div one ya point 3 pcm.
 
Haya majitu ni majinga sana. Yanajiita upinzani ila ni mapigania matumbo yao hayana maisha yapo yapo tu yana manga manga kama mabata kwenye shamba zuri la bustani, kutwa kucha kulia kwa kwa kwa kwa kwaaaa kwaaa, kwa kwa kwa kwa kwaaa kwa , kwaa kwa kwa kwaa kwa kwa kwa kwa kwa kwaaaaaaa[emoji441][emoji445][emoji444][emoji445][emoji445][emoji444]
 
Utasikia wanakwambia alikuwa anatukataza kufanya mikutano ya hadhara, alituzuia kutukana mitandaoni, alikuwa anateka watu, anauwa watu, hoja za kipumbavu kabisa.
 
Hiyi TANESCO kutengeneza faida ni propoganda tu kama yale maigizo ya gawio kutoka mashirika ya umma.
 
Una elimu Gani we kima? Mi Nina masters ya Telecomunication engineering kutoka CoeT na miaka Ile ulikuwa huwezi kusoma course hiyo bila div one ya point 3 pcm.
😂😂, Sawa boss.

Ila kwa kukusaidia mimi sio class yako, sio level yako kishule, kiakili na kila kitu.

Tafta mataahira wenzio mjadiliane.
 
Utasikia wanakwambia alikuwa anatukataza kufanya mikutano ya hadhara, alituzuia kutukana mitandaoni, alikuwa anateka watu, anauwa watu, hoja za kipumbavu kabisa.
Waulize wakupe idadi ama majina ya waliouwawa na kutekwa utasikia Azory, Sanane, sijui mdude, majina ni hayo hayo tu.
 
Pole kwa kufiwa
Mradi gani kati ya hiyo alikamilisha kwa muda wake wote?
Reli haikufika hata Morogoro wa Sasa anaelekea Tabora na Kigoma
Hospitali zake zilikuwa mapagale yasiyo na wataalamu wala vifaa tiba mwenzake amejenga kwa ukamilifu mpaka CT Scan na digital Xray kila hospitali (sio zahanati)
Hata uwanja wa Chatto ulikuwa ni lami ya kuruka na kutua tuu
Bwawa lilikuwa just 27% mwenzie anajaza maji kwa miaka miwili tuu
Mtaani kwetu Kuna kichaa mbunifu anajenga kijumba chake kwa kutumia kuni na maboksi nadhani tumsifie🙄
Samia is a breath of fresh air from the stink of awamu ya tano
Wayahudi hukalia wafu wao Shiva fanya nawe kwa mfu wako
 
Hawa jamaa wanapenda ku generalize vitu bt wao wenyewe wanasikia tu kutoka kwa watu wengine hivyo wanaongea wakiwa hawana uhakika zaid ya assumption tu lakin ukiangalia events zilizo happen kipindi cha our late President vinalingana na awamu zote zilizopita ... I still believe in kuna kitu kipo ambacho hauwezi kusikia wakisema ambacho kina watafuna mpaka leo juu ya JPM instead wanatumia hayo matukio kama kivuli tu bt ukweli wanaujua wao wenyewe
 
Genge S najua sasa mna hasira na CHADEMA na Samia. Nawaambia hakuna makanjanja kama nyie. Tangu Magufuli afe mmekuwa kama watu waliochanganyikiwa. Dikteta alitesa na kuua watu wengi huku akihamishia mabilioni China na kwingineko ni suala la muda tu yote yatajulikana. Kwani dikteta Idd Amin na Mobutu walikuwa na uzuri gani isipokuwa kuiba na kuua? Jpm hana tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…