Ukisikia komando unafikiri ni mwanajeshi wa namna gani!?

Ukisikia komando unafikiri ni mwanajeshi wa namna gani!?

Na wale wanaopasua tofali pale uhuru ni kina nani mkuu?? Na wanavyeo gani huko jeshini maana huitwa makomando!!
Wale wameamua kujidhalilisha Yani komando anapasua mawe ndio kweli kitu Cha kutuonyesha au kudhalilisha mafunzo ya ukomando?

Mtu anashuka na kamba kwenye ndege (helicopter) ndio ukomando??? Kuna mambo mengi hata sioni sababu kwa nini umdhalilishe komando pale uwanjani hao watu mafunzo yao ni kitu kingine kabisa sio kubeba mizigo Kama wamachinga wa stendi ya Magufuli.

Mafunzo yao ni tofauti kidogo na hayafai kuonyesha raia wa kawaida wanaweza kuogopa tukakosa watu wakakamavu watakaokubali kujiunga na hii special unit ya jeshi.

Sioni sababu kwa nini wanawaleta pale kuvunja mawe na kujipaka masizi Kama vichaa wakati ni unit inayoheshimika sana jeshini.
 
Wale wameamua kujidhalilisha Yani komando anapasua mawe ndio kweli kitu Cha kutuonyesha au kudhalilisha mafunzo ya ukomando?

Mtu anashuka na kamba kwenye ndege (helicopter) ndio ukomando??? Kuna mambo mengi hata sioni sababu kwa nini umdhalilishe komando pale uwanjani hao watu mafunzo yao ni kitu kingine kabisa sio kubeba mizigo Kama wamachinga wa stendi ya Magufuli.

Mafunzo yao ni tofauti kidogo na hayafai kuonyesha raia wa kawaida wanaweza kuogopa tukakosa watu wakakamavu watakaokubali kujiunga na hii special unit ya jeshi.

Sioni sababu kwa nini wanawaleta pale kuvunja mawe na kujipaka masizi Kama vichaa wakati ni unit inayoheshimika sana jeshini.
Chief nyanja hizi sio kila kitu kinatakiwa kuweka wazi hayo Mambo ya matofali,mizigo na kamba NI gelesha tu nje ya hayo Kuna hata meditation za wazi wazi hutakaa uamini.
 
Ila kiukweli hawa makomando huwa mnawakuza kupita maelezo,nadhani hta wenyewe humu wakisoma huwa wanacheka sana,kiufupi na brother angu ni komando yupo hapa 92kj,pia na ma classmate na washikaji zaidi ya hamsini wako hapo 92kj,mi ni mtoto wa kota nmezaliwa sangasanga nmekulia sanganga na mdingi alikua komando 92kj. Sitaki kusema mengi ila muwaongeleavyo,kwa 80% sivyo ilivyo
 
Chief nyanja hizi sio kila kitu kinatakiwa kuweka wazi hayo Mambo ya matofali,mizigo na kamba NI gelesha tu nje ya hayo Kuna hata meditation za wazi wazi hutakaa uamini.
Dogo movie's zinakuharibu aise
 
Back
Top Bottom