Ukisikia kua uyaone ndo haya sasa: Bhufakale dawa ya kuchelewa kufariki (kufa)

Nimewapa code Sasa jaribu kujitoa ufahamu. Ila akisanuka laana yake hamtakwepa!

Poleni sana asee haya ni mateso kwenu
 
Kuna dawa ukitumia ukiwa kijana, unakaa na ukijana wako kwa mda mrefu bila kuzeeka.
 
Prelude to Negotiations; Ngumu haimaanishi haiwezekani..., Ndio hapo nikasema watu wasipokuwa macho watashangaa wanapewa dawa alafu wanakufa baada ya miezi tu kwa akaunti zao kupata utapiamlo baada ya kununua dawa ya kutokufa....
 
Prelude to Negotiations; Ngumu haimaanishi haiwezekani..., Ndio hapo nikasema watu wasipokuwa macho watashangaa wanapewa dawa alafu wanakufa baada ya miezi tu kwa akaunti zao kupata utapiamulo baada ya kununua dawa ya kutokufa....
😂😂😂 Kwanza Haina faida hii dawa
 
Prelude to Negotiations; Ngumu haimaanishi haiwezekani..., Ndio hapo nikasema watu wasipokuwa macho watashangaa wanapewa dawa alafu wanakufa baada ya miezi tu kwa akaunti zao kupata utapiamulo baada ya kununua dawa ya kutokufa....
Kwanza proses yake ndefu BINAFSI mm nilikataa
Moja ya SHERIA KUU ukubari kuwa wewe ukishakufa JEHANAMU ndo mahari pako na KIFO chako ni Cha SHIDA mno na MATESO
Hii dawa ndio walikuwa 2anatumia MAJAMBAZI au WEZI wa zamani mnamchoma moto anakuwa mweusi lakini Bado yu hai
Ndo mnasikia watu wakisenq mnaambiwa huyu afi mpk ateme HIRIZI
 
Zipo hasa usukumani .
kuna kabibi kalioza Hasa hadi funza hakakukata moto.
Sijui walifanyaje ndo kakazima
Kuna madawa mengine huwa wanachanjiwa yanaitwa bolaboka sema bhulabuka changanya na makorokoro mengine, hii ni konki hata agongwe na train 🚆 anatoka mzima
 
Kuna madawa mengine huwa wanachanjiwa yanaitwa bolaboka sema bhulabuka changanya na makorokoro mengine, hii ni konki hata agongwe na train 🚆 anatoka mzima
Duuh Mimi Kuna mwizi nilishuhudia mwaka 2003 wamepiga Hadi wakachoka wakiwasha moto na mafuta ya taa moto hauwaki badae kabisa wamechoka kabisa jamaa ndo kawaambia pigeni kivuli changu.

Baada ya kivuli chakr kupigwa rungu akalia Kwa uchungu mno na kufa pale pale.

Sikumbuki ilikuwa tarehe ngapi ama mwezi Gani nakumbuka tulikuwa tunaenda kanisani siku ya jumapili asubuhi.
 
S
Mwaka 2003 jambazi aliwaambia wapige kivuli chake ndo afe na kweli alikufa
 
Kuna ndugu yake Mkwawa Wajerumani walivyomkamata wakataka kumuuwa kwa risasi hadharani cha ajabu risasi zote zilikuwa zinateleza mpaka wakatumia njia ya kumnyonga ndio akafa.

Hata vita vya majimaji nadhani yule mtaalam alikuwa magumashi tu lakini hizo dawa zilikuwepo kweli.
 
Zipo mmekuwa juzi hamtaki kufika kwenye koo kujionea mambo
 
Nakubali mkuu
 
Ni dawa zinazotengenezwa kutokana na mizimu ya ukoo wenu ila kufa anakuwa ameshajifia zamani lakini pale unabaki mwili na roho za mapepo ambayo ukiwauliza chochote wanajibu ila sio yeye utanielewa ipo siku nishatoka huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…