ukata wa dola umewangusha sana mwaka jana, kazi kwa mazoea bila kujari wateja kunaenda kuwaangusha piaCRDB wanafanya vizuri sana, kuwekeza kwa hawa jamaa hujapoteza. Performance yao inapanda kila leo
Sawa waitingNitaleta mrejesho mkuu
Kati ya CRDB na NMB nani anafanya vizuri zaidi?CRDB wanafanya vizuri sana, kuwekeza kwa hawa jamaa hujapoteza. Performance yao inapanda kila leo
Fafanua tafadhariHuu ni mtego....
amenishangaza kidogo kiongoz , ila kwakua kishasema kujilupua ngoja tusubiri mlioMwaka jana zilikua kwa asilimia kumi na moja , UTT kipande kilipanda kwa asilimia 12 mbona kama performance utt iko juu na liquidity kuliko hisa?
Mbona inaeleweka kabisa mwalimuFafanua tafadhari
Kitengo cha masoko kazini?Huu ni mtego....