Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zr kbsUkisikiliza ya watu yatakukatisha tamaa. Chamsingi soma ramani vizuri jilipue. Kupata na kukosa ni matokeo
Mwakan siku kama ya leo naomba inshallah tukiwa hai naomba usisahau kutuma mrejesho wa ongezeko la pesa au gawio na ufanye mahesabu kama the same pesa ingekuwa utt ingekuwa imeongezeka kias gan tuone wap kuna afadhali ila mhh all the bestUkisikiliza ya watu yatakukatisha tamaa. Chamsingi soma ramani vizuri jilipue. Kupata na kukosa ni matokeo
Mil 60 ni ndogo kununua hisa, angeiacha utt tuAngeiacha kiasi UTT na kiasi kwenye shares.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Usiwaze mkuuMwakan siku kama ya leo naomba inshallah tukiwa hai naomba usisahau kutuma mrejesho wa ongezeko la pesa au gawio na ufanye mahesabu kama the same pesa ingekuwa utt ingekuwa imeongezeka kias gan tuone wap kuna afadhali ila mhh all the best
Sijui riba zao zikoje, ni bonds au hisa tu?Wakuu, Maisha bila kujilipua hayaendi. Kifupi kama unanifuatilia nilijichanga UTT AMIS na kuweza kupata kiasi cha 60ml sasa nimetoa hiyo hela yote na kununua hisa za CRDB. Kifupi, liwalo na liwe nikipata sawa na nikikosa sawa. Mungu jaalia. Nitaleta mrejesho baada ya Mwaka kupitia.
Acha uwoga utafaidika tu spot trading ni easy ukiwa patient.. Na ikiamini ktk iyo kampun next 10yr..Wakuu, Maisha bila kujilipua hayaendi. Kifupi kama unanifuatilia nilijichanga UTT AMIS na kuweza kupata kiasi cha 60ml sasa nimetoa hiyo hela yote na kununua hisa za CRDB. Kifupi, liwalo na liwe nikipata sawa na nikikosa sawa. Mungu jaalia. Nitaleta mrejesho baada ya Mwaka kupitia.
Acha uwongoSi amini kama financial market ina Risk takers
Risk takers wapo kwenye biashara.
""The business is zero sum game""
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Amen kila la kheri katika kujilipua
DOnt put all eggs in one basket.....Wakuu, Maisha bila kujilipua hayaendi. Kifupi kama unanifuatilia nilijichanga UTT AMIS na kuweza kupata kiasi cha 60ml sasa nimetoa hiyo hela yote na kununua hisa za CRDB. Kifupi, liwalo na liwe nikipata sawa na nikikosa sawa. Mungu jaalia. Nitaleta mrejesho baada ya Mwaka kupitia.
Nami nilitaka kushangaa, hii 200 imetoka wapi tena?CRDB hisa zake ni 680
Vigezo vya kuiva kwake kwa miaka mingapi umesoma? Ukute Ni miaka 20BOT wanauza hati fungani za 15.49% annually risk free.
Hisa za crdb haziko stable kama zile za NMBAsante