Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfuko wa pamoja wa uwekezaji. Unanunua vipande ambavyo vinakuwa sehemu ya uwekezaji wako then UTT wanawekeza sehemu zinazotoa faida nzuri ie Bond, Fixed interest, Hisa etc faida inayopatikana mnagawana kwa idadi ya vipande unavyomilikiKuna uzi unaoelezea hizo UTT ni nini? Tujifunze na sisi kidogo.
So nikienda bank yoyote naweza fanya aina hii ya uwekezaji.Mfuko wa pamoja wa uwekezaji. Unanunua vipande ambavyo vinakuwa sehemu ya uwekezaji wako then UTT wanawekeza sehemu zinazotoa faida nzuri ie Bond, Fixed interest, Hisa etc faida inayopatikana mnagawana kwa idadi ya vipande unavyomiliki
Gawanya nusu CRDB nusu UTTWakuu, Maisha bila kujilipua hayaendi. Kifupi kama unanifuatilia nilijichanga UTT AMIS na kuweza kupata kiasi cha 60ml sasa nimetoa hiyo hela yote na kununua hisa za CRDB. Kifupi, liwalo na liwe nikipata sawa na nikikosa sawa. Mungu jaalia. Nitaleta mrejesho baada ya Mwaka kupitia.
Ndo maana watu wameshtkia kuwa ni mtu anafanya promotionMwaka jana zilikua kwa asilimia kumi na moja , UTT kipande kilipanda kwa asilimia 12 mbona kama performance utt iko juu na liquidity kuliko hisa?
Mkuu unaweza elezea kwa ufupi kuhusu UTT AMISWakuu, Maisha bila kujilipua hayaendi. Kifupi kama unanifuatilia nilijichanga UTT AMIS na kuweza kupata kiasi cha 60ml sasa nimetoa hiyo hela yote na kununua hisa za CRDB. Kifupi, liwalo na liwe nikipata sawa na nikikosa sawa. Mungu jaalia. Nitaleta mrejesho baada ya Mwaka kupitia.
Matumizi yamezidi mapato au nini mkuu,mbona exports umekuwa sana mkuu, Shabiby alisema bungeni kuwa watu wa umma wakiwezeshwa wanaweza kuwa na expenditure itayo justify circle,na Masoko ya mazao yawe konki ili kila kitu kienda,imagine TANAPA wanakusanya na kila kitu kinaondoka na wadhabuni hawalipiwi,inakuwajeMwakani mabenki yatafilisika na kufungwa yaliyomengi!
Recession inakuja! Viashiria vinaonekana!
Sasa hisa stable utapataje faida? Hisa inavyopanda na kushuka ndio faida unanunua ikiwa imeshuka unauza ikiwa imepanda.Hisa za crdb haziko stable kama zile za NMB
Mwee hizi akili mbovu kweli kweli.Wakuu, Maisha bila kujilipua hayaendi. Kifupi kama unanifuatilia nilijichanga UTT AMIS na kuweza kupata kiasi cha 60ml sasa nimetoa hiyo hela yote na kununua hisa za CRDB. Kifupi, liwalo na liwe nikipata sawa na nikikosa sawa. Mungu jaalia. Nitaleta mrejesho baada ya Mwaka kupitia.
Bora bond mkuu japo faida yake nikiduchuVODACOM waliona trend ya uchumi wa JPM waka issue shares aloo kilichowakuta wanunuaji wa hizo hisa ni siri yao
Kwenye hisa utakiwi kuweka hela ambayo ndio hiyo hiyo unayo tu😆 Kama ndio hiyo hiyo Bora uweke kwenye bond japo kichele , hiss inaweza kupanda gafla au ikashuka ghafla na isifikie Tena hicho kiwango ulichonunuliaDOnt put all eggs in one basket.....
Ungeweka Half kwenye Hisa na another half kwenye Bonds.
Ndo nimejilipua hivyo nikikosa basiKwenye hisa utakiwi kuweka hela ambayo ndio hiyo hiyo unayo tu😆 Kama ndio hiyo hiyo Bora uweke kwenye bond japo kichele , hiss inaweza kupanda gafla au ikashuka ghafla na isifikie Tena hicho kiwango ulichonunulia