Ukisikia kujilipua ndo huku. Ml 60 hisa za CRDB bank, liwalo na liwe!

Ukisikia kujilipua ndo huku. Ml 60 hisa za CRDB bank, liwalo na liwe!

Sasa miaka 20 kuna tatizo gani kama unapewa hio 15.49%? Unajua hio hela ni bei gani kwenye 60M?

Kwa hesabu ni kama 9.3M risk free kila mwaka. Hio hela ukiipata hujalipa ada za wanao na kupunguza makali ya maisha? After 20 years unapewa hela yako ikiwa intact.

Kumbuka still bado una kazi ambayo ilikuwezesha kupata hizo 60M.
Bado kuna mwamba anakwambia 60M ni hela ya change haifai kununua hisa. Ibaki UTT! Duh…
 
Sasa miaka 20 kuna tatizo gani kama unapewa hio 15.49%? Unajua hio hela ni bei gani kwenye 60M?

Kwa hesabu ni kama 9.3M risk free kila mwaka. Hio hela ukiipata hujalipa ada za wanao na kupunguza makali ya maisha? After 20 years unapewa hela yako ikiwa intact.

Kumbuka still bado una kazi ambayo ilikuwezesha kupata hizo pesa

Mfano umepata 100M. Swali la kujiuliza, Kati ya kujenga nyumba ya kupangisha na kununua bonds, kipi bora? Kwangu mimi, likely nitaweka bonds. Maana nyumba ya million Mia moja, utaijenga maeneo ya kawaida sana (not high end plots or locations). Hiyo nyumba itakupa rent ya million kwa mwezi? Highly unlikely! Ila ukinunua bonds zenye returns around 15.49% kwa mwaka, you are guranteed returns ya 15M kila mwaka kwa miaka 20! Na baada ya huo mda unapewa pesa yako. Nadhani pia wengi wetu ni kukosa elimu sahihi ya pesa na uoga wa “kesho itakuwaje”.

Nyumba ya million Mia moja ni nyumba yavkawaida sana na rent zake ndo hizo..unaweza stretch maybe mpaka laki saba. Hapo hujaweka maintenance.

Kwa mtu anayetafuta na asiye taka biashara za kuumiza kichwa, bonds ni better option, kwa mtizamo wangu.
 
Mfano umepata 100M. Swali la kujiuliza, Kati ya kujenga nyumba ya kupangisha na kununua bonds, kipi bora? Kwangu mimi, likely nitaweka bonds. Maana nyumba ya million Mia moja, utaijenga maeneo ya kawaida sana (not high end plots or locations). Hiyo nyumba itakupa rent ya million kwa mwezi? Highly unlikely! Ila ukinunua bonds zenye returns around 15.49% kwa mwaka, you are guranteed returns ya 15M kila mwaka kwa miaka 20! Na baada ya huo mda unapewa pesa yako. Nadhani pia wengi wetu ni kukosa elimu sahihi ya pesa na uoga wa “kesho itakuwaje”.

Nyumba ya million Mia moja ni nyumba yavkawaida sana na rent zake ndo hizo..unaweza stretch maybe mpaka laki saba. Hapo hujaweka maintenance.

Kwa mtu anayetafuta na asiye taka biashara za kuumiza kichwa, bonds ni better option, kwa mtizamo wangu.
Nyumba ya kupanga sio biashara yenye faida mkuu, kwanza mpaka irudishe mtaji nilini? Ilete faida? Labda watakao rithi ndio watanufaika nayo
 
Mwaka jana zilikua kwa asilimia kumi na moja , UTT kipande kilipanda kwa asilimia 12 mbona kama performance utt iko juu na liquidity kuliko hisa?

Kati ya UTT na hisia za CRDB, Bora niache huko huko UTT au niweke kiasi kidogo. Vinginevyo niipeleke yote kwenye bonds.
 
Nyumba ya kupanga sio biashara yenye faida mkuu, kwanza mpaka irudishe mtaji nilini? Ilete faida? Labda watakao rithi ndio watanufaika nayo
Mkuu kama unadhani Bonds ni nzuri kwako ni sawa kabisa lakini usijidanganye kwamba biashara ya nyumba za kupanga haifai na haina faida

Bonds na nyumba ya kupanga havina tofauti sana kwenye swala la kurudisha mtaji
Ukipiga hesabu kodi unayopata kwa mwaka inacheza mulemule kwenye gawio kwa mwaka
Baada ya miaka nahakika nyumba ukitaka kuiuza itakua imepanda thamani parefu wakati bond yako utalipwa ilele uliyoweka miaka 10 iliyopita
 
Wakuu, Maisha bila kujilipua hayaendi. Kifupi kama unanifuatilia nilijichanga UTT AMIS na kuweza kupata kiasi cha 60ml sasa nimetoa hiyo hela yote na kununua hisa za CRDB. Kifupi, liwalo na liwe nikipata sawa na nikikosa sawa. Mungu jaalia. Nitaleta mrejesho baada ya Mwaka kupitia.
Duuh ! kwishne !!! kilichotoka mavumbini kimerudi mavumbini !!!
 
Mkuu kama unadhani Bonds ni nzuri kwako ni sawa kabisa lakini usijidanganye kwamba biashara ya nyumba za kupanga haifai na haina faida

Bonds na nyumba ya kupanga havina tofauti sana kwenye swala la kurudisha mtaji
Ukipiga hesabu kodi unayopata kwa mwaka inacheza mulemule kwenye gawio kwa mwaka
Baada ya miaka nahakika nyumba ukitaka kuiuza itakua imepanda thamani parefu wakati bond yako utalipwa ilele uliyoweka miaka 10 iliyopita
Jenga nyumba ya milion 50 yakupanga afu uone itakupa Gawio la TSH ngapi kwa mwezi na mpaka urudishe hiyo hela uliyotumia kujengea ndio upate faida nilini
 
Mkuu kama unadhani Bonds ni nzuri kwako ni sawa kabisa lakini usijidanganye kwamba biashara ya nyumba za kupanga haifai na haina faida

Bonds na nyumba ya kupanga havina tofauti sana kwenye swala la kurudisha mtaji
Ukipiga hesabu kodi unayopata kwa mwaka inacheza mulemule kwenye gawio kwa mwaka
Baada ya miaka nahakika nyumba ukitaka kuiuza itakua imepanda thamani parefu wakati bond yako utalipwa ilele uliyoweka miaka 10 iliyopita
Acha uongo mkuu,wastani wa nyumba ya Mil 50 inakupa return ya laki tatu kwa mwezi..na kuna kipindi hyo nyumba itakosa mpangaji...lakini ukiweka bond una uhakika wa laki 5 kila mwezi..bila kusumbuana na wapangaji
 
Jenga nyumba ya milion 50 yakupanga afu uone itakupa Gawio la TSH ngapi kwa mwezi na mpaka urudishe hiyo hela uliyotumia kujengea ndio upate faida nilini
Nina jamaa yangu,kajenga nyumba ni kama appartment 3,zenye room 2,dinning ,jiko na public toilet kila appartment..katumia jumla ya TSh mil 65.

Kila appartment mpangaji analipa 150,000 kwa mwezi.
 
Back
Top Bottom