Mfano umepata 100M. Swali la kujiuliza, Kati ya kujenga nyumba ya kupangisha na kununua bonds, kipi bora? Kwangu mimi, likely nitaweka bonds. Maana nyumba ya million Mia moja, utaijenga maeneo ya kawaida sana (not high end plots or locations). Hiyo nyumba itakupa rent ya million kwa mwezi? Highly unlikely! Ila ukinunua bonds zenye returns around 15.49% kwa mwaka, you are guranteed returns ya 15M kila mwaka kwa miaka 20! Na baada ya huo mda unapewa pesa yako. Nadhani pia wengi wetu ni kukosa elimu sahihi ya pesa na uoga wa “kesho itakuwaje”.
Nyumba ya million Mia moja ni nyumba yavkawaida sana na rent zake ndo hizo..unaweza stretch maybe mpaka laki saba. Hapo hujaweka maintenance.
Kwa mtu anayetafuta na asiye taka biashara za kuumiza kichwa, bonds ni better option, kwa mtizamo wangu.