Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Ukija kwangu unakuja kununua Nyumba yangu mkuuNyumba hazina thamani,kiwanja ndo chenye thamani siku zote. Ndo maana wenye hela wananunua hyo unayo ita nyumba yenye thamani na kuipigq chini na kunyanyua ghorofa. Wekeza kwenye viwanja,ila siyo nyumba ya kupangisha..vinginevyo jenga lodge za biashara
Hiyo habari ya unafanya nini baada ya kununua hainihusu