Ukisikia kujilipua ndo huku. Ml 60 hisa za CRDB bank, liwalo na liwe!

Ukisikia kujilipua ndo huku. Ml 60 hisa za CRDB bank, liwalo na liwe!

Mfano umepata 100M. Swali la kujiuliza, Kati ya kujenga nyumba ya kupangisha na kununua bonds, kipi bora? Kwangu mimi, likely nitaweka bonds. Maana nyumba ya million Mia moja, utaijenga maeneo ya kawaida sana (not high end plots or locations). Hiyo nyumba itakupa rent ya million kwa mwezi? Highly unlikely! Ila ukinunua bonds zenye returns around 15.49% kwa mwaka, you are guranteed returns ya 15M kila mwaka kwa miaka 20! Na baada ya huo mda unapewa pesa yako. Nadhani pia wengi wetu ni kukosa elimu sahihi ya pesa na uoga wa “kesho itakuwaje”.

Nyumba ya million Mia moja ni nyumba yavkawaida sana na rent zake ndo hizo..unaweza stretch maybe mpaka laki saba. Hapo hujaweka maintenance.

Kwa mtu anayetafuta na asiye taka biashara za kuumiza kichwa, bonds ni better option, kwa mtizamo wangu.
Kuna wachaga walikuwa na maduka kariakoo na majengo. Waliuza wakakimbiza hela kwenye bonds kipindi kile cha Magu. They are living the best life ever hamna TRA wala usumbufu wa aina yeyote toka serikalini 🤣 mtu katumbukiza 7B kwenye Bonds imagine anakusanya bei gani kila mwaka.
 
Kuna wachaga walikuwa na maduka kariakoo na majengo. Waliuza wakakimbiza hela kwenye bonds kipindi kile cha Magu. They are living the best life ever hamna TRA wala usumbufu wa aina yeyote toka serikalini 🤣 mtu katumbukiza 7B kwenye Bonds imagine anakusanya bei gani kila mwaka.
Dah ukiwa Tajiri pesa zinakutafuta walah mfano udumbukizemo ka trilioni kamoja 😂😂😂
 
Mwaka wa kwanza utakuwa. Utakuwa na
1. 750,000x12 +75M = 84M
2. 840,000x12 +84M = 94M
3. 940,000x12 +94M =105.28M
4. 1,055,000X12 +105.28m =117M
5 . 1,170,000x12 +117 = 131M

Estimation kwenye miaka mitano ya mwisho utakuwa na ongezeko la milioni 70M ukijumlisha na 131 itaingia kwenye 200M
Hiyo hapo ndani ya miaka 5 kwenye return ya 12% per year
Ngoja tukuwekee na picha uelewe vizuri nguvu ya compound interest ama faida jumuishi. Initial capital ni milioni 75 kwa muda wa miaka 10 kwa interest ya 12%
View attachment 3093260
Mtoa mada akiona hii, anaweza kurudi UTT
 
Back
Top Bottom