Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaijenga wapi hiyo nyumba mbona kodi ndogo hivyoNina jamaa yangu,kajenga nyumba ni kama appartment 3,zenye room 2,dinning ,jiko na public toilet kila appartment..katumia jumla ya TSh mil 65.
Kila appartment mpangaji analipa 150,000 kwa mwezi.
HUku wilayani kodi za nyumba ziko chini mnoo mkuu..uwekezaji wa nyumba za kupangisha siyo dili huku. Ni majiji machache tu hapa nchini,ambayo ukijenga nyumba unapangisha kwa kodi nzuriKaijenga wapi hiyo nyumba mbona kodi ndogo hivyo
Ingekuwa maeneo ya dar kodi isinge pungua 250kHUku wilayani kodi za nyumba ziko chini mnoo mkuu..uwekezaji wa nyumba za kupangisha siyo dili huku. Ni majiji machache tu hapa nchini,ambayo ukijenga nyumba unapangisha kwa kodi nzuri
HApo angefanyaje mkuu..Huyo hakutake calculated risk
Inahuzunisha sana mkuu.Ingekuwa maeneo ya dar kodi isinge pungua 250k
Kwa nyumba 3 angekuwa na 750k kwa mwezi
Nyumba mbili Dodoma wastani wa gharama kwa nyumba ni 75MAcha uongo mkuu,wastani wa nyumba ya Mil 50 inakupa return ya laki tatu kwa mwezi..na kuna kipindi hyo nyumba itakosa mpangaji...lakini ukiweka bond una uhakika wa laki 5 kila mwezi..bila kusumbuana na wapangaji
Kama atapata wapangaji mfululizo atafanikiwa kurudisha hiyo pesa ndani ya miaka 15 ndio aanze kupata faidaNina jamaa yangu,kajenga nyumba ni kama appartment 3,zenye room 2,dinning ,jiko na public toilet kila appartment..katumia jumla ya TSh mil 65.
Kila appartment mpangaji analipa 150,000 kwa mwezi.
AwapiNyumba mbili Dodoma wastani wa gharama kwa nyumba ni 75M
Kodi kwa nyumba ni 500,000 kwa mwezi
Baada ya miaka 10 utapewa 75 M ya bond kama ulivyo iweka
Baada ya miaka 10 nahakika nyumba zitakua zime double kama sio triple price
Kupanga ni kuchagua mkuu
Je hizo nyumba zitakuwa zimerudisha pesa uliyojengea kwa miaka 10?Nyumba mbili Dodoma wastani wa gharama kwa nyumba ni 75M
Kodi kwa nyumba ni 500,000 kwa mwezi
Baada ya miaka 10 utapewa 75 M ya bond kama ulivyo iweka
Baada ya miaka 10 nahakika nyumba zitakua zime double kama sio triple price
Kupanga ni kuchagua mkuu
Mkuu tofauti ya nyumba ya biashara na bond ni hiiJenga nyumba ya milion 50 yakupanga afu uone itakupa Gawio la TSH ngapi kwa mwezi na mpaka urudishe hiyo hela uliyotumia kujengea ndio upate faida nilini
Mkuu hizi biashara sio kama biashara za kuuza bidhaa ambazo unapigana kurudisha gharama kulinda mtaji na faidaJe hizo nyumba zitakuwa zimerudisha pesa uliyojengea kwa miaka 10?
Tuongelee faida ya hiyo Bondi ambayo kwa Mwaka inakupa zaidi ya milion 6 X20 = 120M +Mtaji 50M =170 hapo bado hatujaongelea Faida inatotokana na 120M kwa mwaka let say tuchukue 60M ya miaka 10 ya mwanzo +50M ya mtaji wa awali = 110M ambayo itazaa faida ya 12M kwa mwaka ndani ya miaka 10= 120M ukijumlisha utakuta 180M ukiweka na miaka 10 ya mtaji huo utakuta Bond ya 50M kwa rate ya maximum 15% kwa miaka 20 utakuta 200M ambayo utakuwa umeipata. Ukijenga nyumba Leo kwa miaka 20 ijayo inaweza kukuingizia Milion 200? Je hutairepea?Mkuu tofauti ya nyumba ya biashara na bond ni hii
Baada ya miaka labda 20 bond yako itakua na thamani ileile ya M50
Lakini baada ya miaka hiyo nyumba itakua na dhamani mara mbili au tatu ya thamani ya uwekezaji
Nyumba hazina thamani,kiwanja ndo chenye thamani siku zote. Ndo maana wenye hela wananunua hyo unayo ita nyumba yenye thamani na kuipigq chini na kunyanyua ghorofa. Wekeza kwenye viwanja,ila siyo nyumba ya kupangisha..vinginevyo jenga lodge za biasharaMkuu hizi biashara sio kama biashara za kuuza bidhaa ambazo unapigana kurudisha gharama kulinda mtaji na faida
Biashara hizi Mtaji wako upo pale pale hauguswi ila unazalisha faida tu...... na ndio maana return yake ni ndogo
Kwa msingi huo ndio maana nikakwambia ukiweka bond yako ya M100 baada ya miaka 10 utakua na hiyo hiyo M100
Lakini nyumba yangu ya M100 baada ya miaka 10 itakua na thamani maradufu
Ukumbuke Mimi kwa Mwaka nakunja zaidi Milion 12 , so kwa miaka 10 nitakuwa na Milion zaidi 250M wewe hiyo nyumba utaiuza kwenye 200M utakuta nakuzidi tuMkuu hizi biashara sio kama biashara za kuuza bidhaa ambazo unapigana kurudisha gharama kulinda mtaji na faida
Biashara hizi Mtaji wako upo pale pale hauguswi ila unazalisha faida tu...... na ndio maana return yake ni ndogo
Kwa msingi huo ndio maana nikakwambia ukiweka bond yako ya M100 baada ya miaka 10 utakua na hiyo hiyo M100
Lakini nyumba yangu ya M100 baada ya miaka 10 itakua na thamani maradufu
Nmemuambia chenye thamani ni kiwanja,siyo nyumba..nyumba zinabadilika ramani kila kukicha..labda ajenge lodge ya biashara.Ukumbuke Mimi kwa Mwaka nakunja zaidi Milion 12 , so kwa miaka 10 nitakuwa na Milion zaidi 250M wewe hiyo nyumba utaiuza kwenye 200M utakuta nakuzidi tu
Sawa mkuuNmemuambia chenye thamani ni kiwanja,siyo nyumba..nyumba zinabadilika ramani kila kukicha..labda ajenge lodge ya biashara.
Ni uwekezaji lkn huo wa miaka 10 15 ijayo sio mbayaInahuzunisha sana mkuu.
Mkuu twende sawa kidogoUkumbuke Mimi kwa Mwaka nakunja zaidi Milion 12 , so kwa miaka 10 nitakuwa na Milion zaidi 250M wewe hiyo nyumba utaiuza kwenye 200M utakuta nakuzidi tu
Nimeshachanganua hapo kwa miaka hiyo 10 nitakuwa na zaidi ya milion 250 ambayo wewe huwezi kuifikia kwa wakati huoMkuu twende sawa kidogo
Twende na hesabu rahisi za makaratasini kama za mamotivesheni spika 😂
Nyumba imegharimu 75M
Kodi kwa mwezi 500,000
Kodi kwa mwaka 6,000,000
Baada ya 10yrs nitakua nimepata 60,000,000 na nyumba yangu ya 75M itakua labda ime double price
Nipe mchanganuo wako kwa 75M baada ya miaka 10 mkuu