Ukisikia legacy ndiyo hii sasa


Unakazwa na uviccm
 
Nitajie mambo mawili tu lumumba aliyoya fanya congo?
 
Chuki zako baki nazo, usitake kuondoka na kijiji hapa.
 
Bure kabisa,hachafuki.
Na bado mtaaibika Sana.
 

Huku kwenye dunia ya mitandaoni, ni kweli hana legacy. Lakini ukienda kwa wananchi mitaani kwa waTanzania, ukitoa hii kauli yako, utapigwa mawe ufe.
 
Kumwandika kutwa ni legacy tosha maana kutwa MWAMBA mnahangaika kumchafua.
 
World bank fund, DMDP project, wajinga kama wewe mpo wengi msiyojuwa lolote.

Ni Kikwete administration ndio hizo project zilikuwa raised, na utekelezaji ndio ukaangukia kipindi cha dikteta uchwara.
Hata hivyo ungekuwa wewe ungetekeleza?
 
Hata nafsi yako inafahamu kuwa haya maneno huwezi yatamka mbele za watu.

Ni JF tu ndio utasoma mambo kama hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…